Umenikumbusha mbali kidogo vita baina yangu na green mamba.Mmeita mpaka zimamoto kumuua brown house snake! Angekua green mamba je ambaye akiingia bustanini haumuoni au black mamba mwenye Kasi
Mnaua tu ndio maana nature inawapiga na mavita,maradhi,matetemeko nk
Green mamba ni mat**ko hapo ziwa duluti ningekuwa sijakaa kiaskari angenibusuUmenikumbusha mbali kidogo vita baina yangu na green mamba.
Oya green mamba hafi kizembe aisee.
Halaf huwez mdhania na kaumbo kake kadogo yaani, ila ukilianzisha uwe na shabaha sana maana anajua kukwepa utadhan anajua next step yako.Green mamba ni mat**ko hapo ziwa duluti ningekuwa sijakaa kiaskari angenibusu
Hapa nilipo kuna mzee anadawa za hawo viumbe na jins ya kuwaita na kuwauwa au kuwafuga kama hutojali nikuunganishe nayePeace,
Wakuu jirani yangu amekua ananiambia hua anamwoma nyoka mkubwa nyakati za jioni akikatiza katika uzio wake. (Uzio unaotutenganisha) awali nilidhani ananitania maana manawake huwa waoga waoga tu akiona kijiti anaweza kusema nyoka au pia utani na masikhara
Lakini kwa umri wake sio mtu wa utani (mama mtu mzima) aliponiambia mara ya pili na ya tatu nikaanza kua makini. Sasa leo jioni hii upande wa pili na kule anakoniambia nimekutana na huyu nyoka nikamuua.
Nilipomuita aje kumtazama akasema nyoka anayemuonaga ni kama huyu kwa muonekano ila mkubwa zaidi, akasema ni kama mara 3 kwa unene na urefu hana uhakika maana hua hamuoni mwanzo mpaka mwisho wake.
Wakuu hapa naona sasa nahitaji kukaa mguu sawa maana ni kama kuna kambi ya hawa viumbe maeneo haya tuna share oxygen pamoja. Huyu niliyemuua anaweza kuwa mtoto wa huyo anaeonekana. Hapa kutakua na kiota.
Wakati najipanga kuwakabili hawa wajomba naomba aliye na ufahamu wa aina za nyoka anifahamishe huyu ni aina gani ya nyoka na tabia zake na je natakiwa kukabiliana nao katika mtindo upi.
(Najua utaratibu wa kuwataarifu mamlaka ya maliasiri lakini wote tunaifahamu nchi yetu kama ghorofa la Kishimba lilipoungua wakataarifiwa jeshi la zima moto sio tu walikuja siku iliyofuata yani walifika baada ya masaa 32 ila pia walikuja na gari halina maji, unaweza ukapata picha kuwategemea mamlaka za serikali ilivyo riskView attachment 2953224
Update: Nimelazimika kuihamisha familia (mke, watowo watatu na dada wa kazi) hapa nitabaki mwenyewe mpaka vita na hawa viumbe itakapofika tamati, maana kuna kila dalili huu mziki utakua bab kubwa. Hapa kutakua na kiota
Tumia njia za asili za kutengeneza Harufu itakayowaondoa hao viumbe eneo unaloishi.Mwaga oil changanya na mafuta ya taa weka kwenye sehem unayohis nyoka wapo
Acha uwongo bro kwamba Kuna dawa ya kuwaita?Hapa nilipo kuna mzee anadawa za hawo viumbe na jins ya kuwaita na kuwauwa au kuwafuga kama hutojali nikuunganishe naye
Tahadhari ni muhimu kwako kwa kipindi hiki na nyoka uliyemuua hana sumu na hata kama anayo hana sumu ya kutisha.Peace,
Wakuu jirani yangu amekua ananiambia hua anamwoma nyoka mkubwa nyakati za jioni akikatiza katika uzio wake. (Uzio unaotutenganisha) awali nilidhani ananitania maana manawake huwa waoga waoga tu akiona kijiti anaweza kusema nyoka au pia utani na masikhara
Lakini kwa umri wake sio mtu wa utani (mama mtu mzima) aliponiambia mara ya pili na ya tatu nikaanza kua makini. Sasa leo jioni hii upande wa pili na kule anakoniambia nimekutana na huyu nyoka nikamuua.
Nilipomuita aje kumtazama akasema nyoka anayemuonaga ni kama huyu kwa muonekano ila mkubwa zaidi, akasema ni kama mara 3 kwa unene na urefu hana uhakika maana hua hamuoni mwanzo mpaka mwisho wake.
Wakuu hapa naona sasa nahitaji kukaa mguu sawa maana ni kama kuna kambi ya hawa viumbe maeneo haya tuna share oxygen pamoja. Huyu niliyemuua anaweza kuwa mtoto wa huyo anaeonekana. Hapa kutakua na kiota.
Wakati najipanga kuwakabili hawa wajomba naomba aliye na ufahamu wa aina za nyoka anifahamishe huyu ni aina gani ya nyoka na tabia zake na je natakiwa kukabiliana nao katika mtindo upi.
(Najua utaratibu wa kuwataarifu mamlaka ya maliasiri lakini wote tunaifahamu nchi yetu kama ghorofa la Kishimba lilipoungua wakataarifiwa jeshi la zima moto sio tu walikuja siku iliyofuata yani walifika baada ya masaa 32 ila pia walikuja na gari halina maji, unaweza ukapata picha kuwategemea mamlaka za serikali ilivyo riskView attachment 2953224
Update: Nimelazimika kuihamisha familia (mke, watowo watatu na dada wa kazi) hapa nitabaki mwenyewe mpaka vita na hawa viumbe itakapofika tamati, maana kuna kila dalili huu mziki utakua bab kubwa. Hapa kutakua na kiota
Mafuta ya taa ni dawa kubwa sn ya kukimbiza nyoka, kingine ondoa vichaka vilivyo karibu na nyumba yako usafi ni muhimu sn huodoa hao viumbe.Kuna kipindi nilikuwa napambano nao nyumbani kwa kuchoma matairi ya gari wakapotea ila juzi kati nimearifiwa kuwa wameua kadogo kaliingia sebuleni wakaua. Sasa niko njiani narudi nyumbani kuendeleza vita nao. Muhimu uwe unamwagwa oil chafu kwenye kila mahala unahisi uwepo wao ndio dawa ya kwanza