Msaada: Huyu ni nyoka wa aina gani?

Msaada: Huyu ni nyoka wa aina gani?

usiate tabu huyo ni nyoka wa kawaida sana ila tafuta matairi mengi choma moshi usambae puliza mafuta ya taa kwenye mashina ya miti usimwage puliza na bomba la kunyunyiza dawa maeneo yote yenye uficho washa matairi angalau mara tatu kwa wiki watapotea kabisa.....
 
Kuna kipindi nilikuwa napambano nao nyumbani kwa kuchoma matairi ya gari wakapotea ila juzi kati nimearifiwa kuwa wameua kadogo kaliingia sebuleni wakaua. Sasa niko njiani narudi nyumbani kuendeleza vita nao. Muhimu uwe unamwagwa oil chafu kwenye kila mahala unahisi uwepo wao ndio dawa ya kwanza
 
Mmeita mpaka zimamoto kumuua brown house snake! Angekua green mamba je ambaye akiingia bustanini haumuoni au black mamba mwenye Kasi
Mnaua tu ndio maana nature inawapiga na mavita,maradhi,matetemeko nk
Umenikumbusha mbali kidogo vita baina yangu na green mamba.
Oya green mamba hafi kizembe aisee.
 
Peace,

Wakuu jirani yangu amekua ananiambia hua anamwoma nyoka mkubwa nyakati za jioni akikatiza katika uzio wake. (Uzio unaotutenganisha) awali nilidhani ananitania maana manawake huwa waoga waoga tu akiona kijiti anaweza kusema nyoka au pia utani na masikhara

Lakini kwa umri wake sio mtu wa utani (mama mtu mzima) aliponiambia mara ya pili na ya tatu nikaanza kua makini. Sasa leo jioni hii upande wa pili na kule anakoniambia nimekutana na huyu nyoka nikamuua.

Nilipomuita aje kumtazama akasema nyoka anayemuonaga ni kama huyu kwa muonekano ila mkubwa zaidi, akasema ni kama mara 3 kwa unene na urefu hana uhakika maana hua hamuoni mwanzo mpaka mwisho wake.

Wakuu hapa naona sasa nahitaji kukaa mguu sawa maana ni kama kuna kambi ya hawa viumbe maeneo haya tuna share oxygen pamoja. Huyu niliyemuua anaweza kuwa mtoto wa huyo anaeonekana. Hapa kutakua na kiota.

Wakati najipanga kuwakabili hawa wajomba naomba aliye na ufahamu wa aina za nyoka anifahamishe huyu ni aina gani ya nyoka na tabia zake na je natakiwa kukabiliana nao katika mtindo upi.

(Najua utaratibu wa kuwataarifu mamlaka ya maliasiri lakini wote tunaifahamu nchi yetu kama ghorofa la Kishimba lilipoungua wakataarifiwa jeshi la zima moto sio tu walikuja siku iliyofuata yani walifika baada ya masaa 32 ila pia walikuja na gari halina maji, unaweza ukapata picha kuwategemea mamlaka za serikali ilivyo riskView attachment 2953224

Update: Nimelazimika kuihamisha familia (mke, watowo watatu na dada wa kazi) hapa nitabaki mwenyewe mpaka vita na hawa viumbe itakapofika tamati, maana kuna kila dalili huu mziki utakua bab kubwa. Hapa kutakua na kiota
Hapa nilipo kuna mzee anadawa za hawo viumbe na jins ya kuwaita na kuwauwa au kuwafuga kama hutojali nikuunganishe naye
 
Mwaga oil changanya na mafuta ya taa weka kwenye sehem unayohis nyoka wapo
Tumia njia za asili za kutengeneza Harufu itakayowaondoa hao viumbe eneo unaloishi.

Fyeka majani,fukia vishiml unavyoviona mazingira safi sio rafiki kwa nyoka.

ila ukiendelea ishi na vichaka,karibu utawaona sana wakija kufanya party hapo hapo home.
 
Hapa nilipo kuna mzee anadawa za hawo viumbe na jins ya kuwaita na kuwauwa au kuwafuga kama hutojali nikuunganishe naye
Acha uwongo bro kwamba Kuna dawa ya kuwaita?
Siku hizi watu wameelimika mganga
 
Peace,

Wakuu jirani yangu amekua ananiambia hua anamwoma nyoka mkubwa nyakati za jioni akikatiza katika uzio wake. (Uzio unaotutenganisha) awali nilidhani ananitania maana manawake huwa waoga waoga tu akiona kijiti anaweza kusema nyoka au pia utani na masikhara

Lakini kwa umri wake sio mtu wa utani (mama mtu mzima) aliponiambia mara ya pili na ya tatu nikaanza kua makini. Sasa leo jioni hii upande wa pili na kule anakoniambia nimekutana na huyu nyoka nikamuua.

Nilipomuita aje kumtazama akasema nyoka anayemuonaga ni kama huyu kwa muonekano ila mkubwa zaidi, akasema ni kama mara 3 kwa unene na urefu hana uhakika maana hua hamuoni mwanzo mpaka mwisho wake.

Wakuu hapa naona sasa nahitaji kukaa mguu sawa maana ni kama kuna kambi ya hawa viumbe maeneo haya tuna share oxygen pamoja. Huyu niliyemuua anaweza kuwa mtoto wa huyo anaeonekana. Hapa kutakua na kiota.

Wakati najipanga kuwakabili hawa wajomba naomba aliye na ufahamu wa aina za nyoka anifahamishe huyu ni aina gani ya nyoka na tabia zake na je natakiwa kukabiliana nao katika mtindo upi.

(Najua utaratibu wa kuwataarifu mamlaka ya maliasiri lakini wote tunaifahamu nchi yetu kama ghorofa la Kishimba lilipoungua wakataarifiwa jeshi la zima moto sio tu walikuja siku iliyofuata yani walifika baada ya masaa 32 ila pia walikuja na gari halina maji, unaweza ukapata picha kuwategemea mamlaka za serikali ilivyo riskView attachment 2953224

Update: Nimelazimika kuihamisha familia (mke, watowo watatu na dada wa kazi) hapa nitabaki mwenyewe mpaka vita na hawa viumbe itakapofika tamati, maana kuna kila dalili huu mziki utakua bab kubwa. Hapa kutakua na kiota
Tahadhari ni muhimu kwako kwa kipindi hiki na nyoka uliyemuua hana sumu na hata kama anayo hana sumu ya kutisha.

Na uli umtambue nyoka kama anasumu kali ni kutokana na rangi na meno yake kadri nyoka anavyokuwa mweusi au kijivu tiii ndivyo anavyokuwa na sumu kali,so huyo anasumu ndogo au hana kabisa.

Na wasikudanganye kwamba ni black mamba.Kwani black mamba huwa hawezi kabisa kukaa sehemu yenye kelele na kama angekuwa ndo yeye mmemuulia mtoto wake mwenye size kama hyo means yeye anaweza kuwa mara mbili ya huyo.

Basi hakika mpaka mda huu nyie ote mnaokaa hizo nyumba sijui hata kama mngekuwa mnaongea mpaka mda huu
 
Kuna kipindi nilikuwa napambano nao nyumbani kwa kuchoma matairi ya gari wakapotea ila juzi kati nimearifiwa kuwa wameua kadogo kaliingia sebuleni wakaua. Sasa niko njiani narudi nyumbani kuendeleza vita nao. Muhimu uwe unamwagwa oil chafu kwenye kila mahala unahisi uwepo wao ndio dawa ya kwanza
Mafuta ya taa ni dawa kubwa sn ya kukimbiza nyoka, kingine ondoa vichaka vilivyo karibu na nyumba yako usafi ni muhimu sn huodoa hao viumbe.
 
Back
Top Bottom