Msaada;hv Masomo Ya 'A'-LEVEL, Inawezekana kusoma mwaka mmoja na ufaulu ukawa mzuri?

combination gani?kama ni PCM,PGM,ECA,PCB,EGM,HGE,CBG,.USIJARIBU NAKUSHAURI USIFANYE HIVYO.
Mwaka juzi nilikuja na swali kama hilo la mleta mada, nasoma CBG-practically haiwezekani, pamoja na kwamba nasoma mwenyewa(sina mwalimu) na nina bidii kweli hata hivyo ndio nipo kwenye robo tatu ya "silabasi"
 
wakuu kama mtu unapiga HGE eti ukipata f ya bam unapigwa penalty? Msaada wenu wakuu
 
wakuu kama mtu unapiga HGE eti ukipata f ya bam unapigwa penalty? Msaada wenu wakuu

duuh we mgen nn wa advance!! Hamnaga penalt ya bam! Bt kuna penalt ya Gs!! Overrrr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…