Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Mwaka juzi nilikuja na swali kama hilo la mleta mada, nasoma CBG-practically haiwezekani, pamoja na kwamba nasoma mwenyewa(sina mwalimu) na nina bidii kweli hata hivyo ndio nipo kwenye robo tatu ya "silabasi"combination gani?kama ni PCM,PGM,ECA,PCB,EGM,HGE,CBG,.USIJARIBU NAKUSHAURI USIFANYE HIVYO.