Msaada...i phone 6 yangu imezimwa napataje data zangu zilizomo humo??

Msaada...i phone 6 yangu imezimwa napataje data zangu zilizomo humo??

Doyi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2011
Posts
1,578
Reaction score
1,894
JuZ kat sikuwa na habar kama hizi simu za iphone matoleo ya nyuma wanazizima zisifanye kaz tena.nikiwa sina hili wala lile ghafla simu nikaona haifanyi kaz imejizima...nikajaribu kuiwasha ikashindikana na sikuiangusha wala kuiharibu kokote..kwenda kwa fundi anasema iphone wameamua kuzima hizi simi za zamani.kinachoniuma kuna taarifa zangu nyingi mule.je nawezaje kuzipata hizo taarifa?? Maana fundi alisema ye hapo hana ujanja zaidi,kwa yeyote anayejua tafadhali anijuze.asante
 
Aliyekudanganya kampige makofi.Na simu ya iphone 3GS kama kitochi changu pendwa.
Hiyo simu inatatizo wala sio hayo maelezo hakuna kitu kama hicho.
Ni tatizo la kiufundi nenda kwa mafundi
 
Aliyekudanganya kampige makofi.Na simu ya iphone 3GS kama kitochi changu pendwa.
Hiyo simu inatatizo wala sio hayo maelezo hakuna kitu kama hicho.
Ni tatizo la kiufundi nenda kwa mafundi
Aisee kumbe fundi yalimshinda kaamua kutafuta upenyobwa kutokea sio?? Bas sawa ngoja niendelee kutafuta wataalam
 
mkuu ulipigwa changa la macho, hakuna iphone iliyozimwa, sema tu iphone za zaman kama iyo 6 haiwez pandisha ios version, imeishia 12, lakin pia kwa ishu ya kupata data zako, ukilog in icloud acount yako kwenye kifaa kingine, iwe simu, au computer, data zako unazipata..otherwise peleka kwa fund ambae atajua tatizo nn na kuirekebisha inaweza kupona pia
 
Back
Top Bottom