Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
😆JF kwa masikhara haijambo!Mimi Nina Shule inaishia Darasa la 5 Mwanafunzi anakuwa umemaliza
[emoji1787][emoji1787] Samahani, naomba maelezo kidogo, hii inakuaje?Mimi Nina Shule inaishia Darasa la 5 Mwanafunzi anakuwa umemaliza
[emoji1787][emoji1787] hii itakuwa Sule...na sio shuleMimi Nina Shule inaishia Darasa la 5 Mwanafunzi anakuwa umemaliza
Acha uongo, hiyo siyo shule. Ni kituo cha kusomea tu. Can't be registered as a school.Mimi Nina Shule inaishia Darasa la 5 Mwanafunzi anakuwa umemaliza
Hapana haiwezi kuwa sahihi kwako wewe mwenye shule na haitakuwa nzuri kwa wanafunzi pia kwa maana hizo ni hatima zao sasa wakisoma katika shule yako bila kujitim ili wakahitim katika shule nyingne haipendez na sio nzuri kabsa na shule yako itakuwa imekosa sifaHapa namaanisha shule ambayo wanavocover shule ya msingi kwa miaka 6 na kufanya mtihani wa taifa. Au ambayo masomo ya form one hadi form four wanacover kwa miaka mitatu na kufanya mtihani. Inaruhusiwa kuwa na shule ya namna hii?
Inaruhusiwa?Jaribu kuanzisha
Haijakatazwa wala kuruhusiwa wewe anzisha tuInaruhusiwa?
Seminary wanasomaga miaka 5 olevel. Kwanini isiwezekane kusoma 3?Wapo wanaosoma secondary miaka miwili kisha mecta wanakua watahiniwa binafsi. Hivyo kama ni kituo inakua ruksa ila sio shule
Nataka uhakika. Kama hufahamu jibu ukae utulie.Haijakatazwa wala kuruhusiwa wewe anzisha tu
Kwa nini usifanye elimu ya primari miaka minne na sekondari O level miaka miwili, na A level mwaka mmoja.Hapa namaanisha shule ambayo wanavocover shule ya msingi kwa miaka 6 na kufanya mtihani wa taifa. Au ambayo masomo ya form one hadi form four wanacover kwa miaka mitatu na kufanya mtihani. Inaruhusiwa kuwa na shule ya namna hii?
Hauko serious yaani JF ni basis yako ya kupata uhakika wa mambo ya kiserikali? Nends Wizara ya elimuNataka uhakika. Kama hufahamu jibu ukae utulie.
Kuna uhitaji kupunguza miaka ya kusoma. Olevel mmoja na msingi mmoja.Kwa nini usisanye elimu ya primari miakaa minne na sekondari O level miaka miwili, na A level mwaka mmoja.
Degree miaka miwili tu, tutapasua.
Humu kuna watu wanafahamu mambi mbalimbali.Hauko serious yaani JF ni basis yako ya kupata uhakika wa mambo ya kiserikali? Nends Wizara ya elimu