Msaada inawezekana kusoma degree ya OPEN UNIVERSITY na chuo kingine kwa wakati moja?

Msaada inawezekana kusoma degree ya OPEN UNIVERSITY na chuo kingine kwa wakati moja?

EJay

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
693
Reaction score
172
Wakuu!

Nimependa nilete mada hii baada ya Kuona CV ya mhe:mmoja ambaye wakati akisoma B.A.Economics pale Udsm mwaka huo huo alikuwa anasoma kozi ya mambo ya Utawala katika chuo kingine(Institute).

Je,inawezekana mwakani nikaomba nafasi OUT?kwa sasa nachukua shahada ya kwanza.Hivyo nitakuwa nasoma kozi mbili kwa wakati moja.
 
Inawezekana!ila mziki wa open naskia ni mnene..so jipange
 
Inawezekana sana ila shida itakuwa wakati kuandika exams.. Itabd 1 iwe unafanya special 2

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Inawezekana!ila mziki wa open naskia ni mnene..so jipange

Asante Mkuu,nadhani sitapata shida sana kwa kuwa Vitabu vya kozi yenyewe viko vingi Udsm+madesa na nikiingia baadhi ya lecture.
 
Inawezekana sana ila shida itakuwa wakati kuandika exams.. Itabd 1 iwe unafanya special 2

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

asante mkuu,ila naomba unipe details zaidi hapo kwenye exams.
 
asante mkuu,ila naomba unipe details zaidi hapo kwenye exams.

I min vyuo vingi muda wa pepas unakuwa sawa. So in case pepas zimengukia muda m1 itabd pepa za chuo k1 uzifanye kama specials exams baada ya kuwaandikia barua.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
I min vyuo vingi muda wa pepas unakuwa sawa. So in case pepas zimengukia muda m1 itabd pepa za chuo k1 uzifanye kama specials exams baada ya kuwaandikia barua.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ubarikiwe Mkuu!
 
Back
Top Bottom