The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Mkuu umejibu thread ya mwaka 2015[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...nahisi jamaa hata hilo gari hana saa hizi!
Hajajibu kwa manufaa ya huyo muuliza swali tu....
Hii ni kwa ajili yetu sote humu jukwaani na yeyote mwenye fursa ya kupitia humu na ana miliki gari.....
Mimi nadhani katoa elimu nzuri sana kwa wote no matter mwanzisha hoja bado ana miliki gari hilo ama la....