The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Mkuu umejibu thread ya mwaka 2015[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...nahisi jamaa hata hilo gari hana saa hizi!
Bro , uko sahihi kabisa .....Sometimes hizo wire huwa zinachubuliwa na Tyre kama hazijabanwa vizuri,Kila mtu akiangalia gari atagundua hilo.
ABS=Anti-lock Braking SystemABS ni kifupi cha anti breaking system,taa inapowaka unaweza kuta ni brake fluid imeisha au cable zake zina tatizo.
Yangu ni spacio inawaka tu sijui nayo nininimkuu ushauri wako sio mzuri sana kabisa.kwa Gari nyingine taa ya ABS ikiwaka shida huwa kubwa sana.na ukiendelea kuendesha unazidi kufanya uharibifu zaidi .kama kuharibu gearbox n.k
hasa huwa inategemeana ni aina gani ya gari
mfumo wa ABS unaosaidia unapokanyaga breaks yako, tyres zote kushika breaks kwa usawa na kiwango kimoja bila kuzidiana hivyo ukiendesha gari wakati mfumo ni mbovu ni hatari inapelekea gari kuteleza unapokanyaga breaks. Hivyo ni muhimu kurekebisha mfumo, Pia inapotokea dharura ukakanyaga breaks kwa nguvu na ghafla mfumo unakusaidia gari kusimama papo kwa papo.Naomba ufafanuzi wa taa ya ABS Imewaka hata sijui gari ina shida gani. Nimejaribu kugoogle nimepata maelekezo ila nahitaji msaada wa watalaamu zaidi.
Nini madhara ya kuendesha gari taa ikiwa inawaka?