Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 668
Habarini wana jamvi wa JF tech,
Bila kupoteza muda niende kwenye swala langu; kuna infinix hapa inaonekana kuna mtu ameichezea afu kaiingiza safe mode, zile applications zote zilizokuwa downloaded hazipo na kuna kinotification hapo juu kinasema simu ipo safe mode.
Chonde jamani naombeni msaada wenu simu ndio bado mpyaaaaaa!
Bila kupoteza muda niende kwenye swala langu; kuna infinix hapa inaonekana kuna mtu ameichezea afu kaiingiza safe mode, zile applications zote zilizokuwa downloaded hazipo na kuna kinotification hapo juu kinasema simu ipo safe mode.
Chonde jamani naombeni msaada wenu simu ndio bado mpyaaaaaa!