Msaada: Infinix ipo kwenye safe mode

Msaada: Infinix ipo kwenye safe mode

Pastory Kimaryo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
967
Reaction score
668
Habarini wana jamvi wa JF tech,

Bila kupoteza muda niende kwenye swala langu; kuna infinix hapa inaonekana kuna mtu ameichezea afu kaiingiza safe mode, zile applications zote zilizokuwa downloaded hazipo na kuna kinotification hapo juu kinasema simu ipo safe mode.

Chonde jamani naombeni msaada wenu simu ndio bado mpyaaaaaa!
 
Zima , washa itawaka kawaida
Habarini wana jamvi wa JF tech,

Bila kupoteza muda niende kwenye swala langu; kuna infinix hapa inaonekana kuna mtu ameichezea afu kaiingiza safe mode, zile applications zote zilizokuwa downloaded hazipo na kuna kinotification hapo juu kinasema simu ipo safe mode.

Chonde jamani naombeni msaada wenu simu ndio bado mpyaaaaaa!
 
Safe mode hua inakua activated pale wakati unaiwasha ukashikilia volume down.

Hii hufanya simu iwake bila apps zote ulizodownload na hata ukidownload ukiinstall hutaziona.

Hii ni pale unapohisi simu ina virusi vikiwa vimesababishwa na app uliyodownload so ukiiwasha in safe mode kama ni app ndiyo yenye kirusi utaona simu inaoperate inavyotakiwa.
 
Safe mode hua inakua activated pale wakati unaiwasha ukashikilia volume down.

Hii hufanya simu iwake bila apps zote ulizodownload na hata ukidownload ukiinstall hutaziona.

Hii ni pale unapohisi simu ina virusi vikiwa vimesababishwa na app uliyodownload so ukiiwasha in safe mode kama ni app ndiyo yenye kirusi utaona simu inaoperate inavyotakiwa.
Maswali machache:
Safe mode naipata wakati "simu inawaka nashikilia vol down" tu au hata ikiwa ikiwa on naweza kuipata kwa namna fulani?

Unaposema katika safe mode simu inaoperate kawaida manake hiyo safe mode ipo tu kama mbadala wa interface inayosumbua(corrupted) au ni kwaajili ya kutrableshoot tatizo limetokana na nini?
 
Maswali machache:
Safe mode naipata wakati "simu inawaka nashikilia vol down" tu au hata ikiwa ikiwa on naweza kuipata kwa namna fulani?

Unaposema katika safe mode simu inaoperate kawaida manake hiyo safe mode ipo tu kama mbadala wa interface inayosumbua(corrupted) au ni kwaajili ya kutrableshoot tatizo limetokana na nini?
Safe mode huipati simu ikiwa on.

Niliposema kawaida nilimaanisha bila glitch. Mfano kuna app unaweza install ukashangaa inakuletea ads nyingi au simu inakua slow.

Hivyo kama ukiwasha katika safe mode na ukawa huzioni hizo glitch inamaanisha kuna app ndiyo zilikua zinasababisha hivyo.
 
Back
Top Bottom