Msaada: Injini imejamu ghafla

Msaada: Injini imejamu ghafla

Lyambasa

Senior Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
153
Reaction score
43
Wadau nina gari aina ya Suzuki Escudo, tulibadilisha slinder head gasket baada ya gari kugoma kuwaka na kuchanganya maji.

Sasa injini haizunguki kabisa ijapokuwa mwanzoni iliwaka kwa kumiss sana.

Maoni yenu wadau.
 
Wadau nina gari aina ya Suzuki Escudo, tulibadilisha slinder head gasket baada ya gari kugoma kuwaka na kuchanganya maji.

Sasa injini haizunguki kabisa ijapokuwa mwanzoni iliwaka kwa kumiss sana.

Maoni yenu wadau.
Ingine G16?Gari zishachoka hizo gari..zina miaka karibu 30 sasa sokoni. Tafuta msukuma mmoja muuzie au ufugie kuku. Nunua toleo jingine
 
engine knock kwani kutengeenza kibongo bongo haiwezekani au?? maana kuna jamaa ameanza mpaka kuuza spare parts
 
Usikatishwe tamaa na walalahoi wenzangu wa hapa JF ambao mara nyingine ukiwasikiliza sana utapotea. Tafuta fundi Mzuri Escudo yako bado inaweza kukusukuma sana hapa Mjini. Zingatia hitajio la Moyo kamwe usitishike na maneno ya vijembe toka kwa wakosaji.
 
Back
Top Bottom