Kweli kabisaa kwanza ujue inavujia sehemu gani pili uangalie kama nikwenye.bridha au kwenye gasketiLinaweza kupona mkuu,kikubwa ni kujua hiyo oil inavuja kutokea wapi,yaani sehemu gani ya gari?
Sawa Mkuu nashukuru sanaLinaweza kupona mkuu,kikubwa ni kujua hiyo oil inavuja kutokea wapi,yaani sehemu gani ya gari?
Nitalifanyia kazi.ShukranLinaweza kupona mkuu,kikubwa ni kujua hiyo oil inavuja kutokea wapi,yaani sehemu gani ya gari?