Msaada: Injini ya Gari kuvuja

Msaada: Injini ya Gari kuvuja

kdc

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
637
Reaction score
200
Gari yangu ni Altezza inavuja injini oil sana.Je hili tatizo linaweza kupona kabisa?
Kama ndivyo wapi wapi ninaweza kupata utatuzi niko Dar.

Asanten sana.
 
Linaweza kupona mkuu,kikubwa ni kujua hiyo oil inavuja kutokea wapi,yaani sehemu gani ya gari?
 
Back
Top Bottom