isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Usiendeleze activity yoyote ya ads hadi utatue Facebook Ads, hii itakusaidia kutofanya suspicious activities zinazoweza pelekea kufungiwa. RelaxKadi ina ela
Alafu pia huwa na promote bidhaa siku moja moja ikiisha nasizi
Au natakiwa kulipia lets say monthly?
Hii haina Neno,Kadi ina ela
Alafu pia huwa na promote bidhaa siku moja moja ikiisha nasizi
Au natakiwa kulipia lets say monthly?
Natumia sim.na hii acc ya insta ilikua connected na fbUnatumia kifaa gani, simu au kompyuta?
Hapo ndo nashangaa inavyoniambia ad accont haifanyi kazi.yaani nikiclick bidhaa kupromote inasema sina ruhusaHii haina Neno,
Unalipa unayotaka mwenyewe, hulazimishwi kulipia kila wakati.
Nahisi wata idis able aisee.Usiendeleze activity yoyote ya ads hadi utatue Facebook Ads, hii itakusaidia kutofanya suspicious activities zinazoweza pelekea kufungiwa. Relax
Naona nikiipata nakuta hivi @isajorsegioHii haina Neno,
Unalipa unayotaka mwenyewe, hulazimishwi kulipia kila wakati.
Oke Mrs Dee ingia katika aplikesheni yako ya Facebook > Settings > Ads PaymentNatumia sim.na hii acc ya insta ilikua connected na fb
Hapo ndo nashangaa inavyoniambia ad accont haifanyi kazi.yaani nikiclick bidhaa kupromote inasema sina ruhusa
Disabled hiyo sababu ya unusual activity! Kuna jambo ulitenda, unahitaji kufanya verification tena.
Naomba procedure za kuactivateDisabled hiyo sababu ya unusual activity! Kuna jambo ulitenda, unahitaji kufanya verification tena.