Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Hawa jamaa mkeka liniMambo bado taiti
Jamaaa wako kimyaHawa jamaa mkeka lini
Hapa nahisi kuna changamoto huko serikalini ndio zinachelewesha watu kwenda kuripoti kiwira.Jamani maport mbona kimya sana vp kuna ishu yeyote inaendelea magereza tujuzane
Au bajeti nini haitoshi ?Hapa nahisi kuna changamoto huko serikalini ndio zinachelewesha watu kwenda kuripoti kiwira.
Sizani kama ni uongozi wa magereza wenyewe ndio umeamua kuchelewesha mambo hivi.
Na kama ni magereza wenyewe ndio wameamua kuchelewesha mambo hivi basi hawapo serious.
Daah we acha tu [emoji1787] unaweza ukadhani kwenye kichwa chako hawa jamaa wamehairishapolisi nao wamekausha kinoma. tangu tusikie wamepewa kibali cha kuajiri till now kimya .kama ni sensa imekata so sijajua wanasubiria nn hadi sasa??
kumepoa sana...Humu ndani .......
Hahaha acha kukata tamaaa mkuuuZile ajira zilikuwa siasa tu
Zamu yako itafika mkuuFFU wameua Leo CCP [emoji7]namie ningekuwa miongoni mwao dahh
kwa motoo balaa.magereza ,polisi utumishi kote kimyaa aiseehHakuna mwenye update yeyote ..Maanake uku mtaani tushachoka sasa
Hapa ngoma itakuwa bajeti tukwa motoo balaa.magereza ,polisi utumishi kote kimyaa aiseeh
nahisi kudanja
Kweli Asee ..sema kwa magereza tangu kamishna mpya alivyoteuliwa hajapata muda wa kukaa na kuongea na Rais kutokana na wingi wa mambo ikiwemo ziara nyingi za muheshimiwa Rais ,punde watakapokutana tu nadhani mambo yatakuwa mazuri .Hapa ngoma itakuwa bajeti tu