MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Mwaka huu polisi washafanya tayari usaili mkoani ?p
polisi form4 mkoani ni utaratibu wao.ila uhamiaji hawanaga hzo pgo wote ni kutest dhari domu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu polisi washafanya tayari usaili mkoani ?p
polisi form4 mkoani ni utaratibu wao.ila uhamiaji hawanaga hzo pgo wote ni kutest dhari domu
Diedline tarehe 29 huo usaili utakuwaje tayari mkuu???Mwaka huu polisi washafanya tayari usaili mkoani ?
Aha kumbe ndio maana nimeuliza hapo ila usaili wa mkoani utasaidia wengi hakuna gharama kubwaDiedline tarehe 29 huo usaili utakuwaje tayari mkuu???
Subiri hadi diedline ipiteAha kumbe ndio maana nimeuliza hapo ila usaili wa mkoani utasaidia wengi hakuna gharama kubwa
yaah baada ya kufungwa kwa maombi uhamiaji huwa wanatoa after 2weeks. mfano january 1 tangazo lili toka deadline ilikuwa trh 14, usahili ukawa trh 28 january bahati mbaya sikutoboaPolisi huwa wanachelewa usaili wao,hapa uhamiaji ndio watakaoanza
Usaili mlifanyia wapi mkuu?yaah baada ya kufungwa kwa maombi uhamiaji huwa wanatoa after 2weeks. mfano january 1 tangazo lili toka deadline ilikuwa trh 14, usahili ukawa trh 28 january bahati mbaya sikutoboa
Huwa unafanyaje ku trackMimi nimetuma kwa EMS .kuondoa utata nimetrack mzigo uko delivered
ingiaa kwenye website yao.then hio risiti uliyopewa utaingiza hizo barcode number taarifa za mzigo wako utaona muda uliopeleka mpaka muda uliofika dodomaHuwa unafanyaje ku track
15 elfuEMS bei gani wadau?
Aiseeh parefu [emoji3][emoji3][emoji3]Sawa mkuu shukurani15 elfu
sio poa kakaAiseeh parefu [emoji3][emoji3][emoji3]Sawa mkuu shukurani
Poa hapo nimekupatasio poa kaka
Jukwaa linatakiwa lisipoe kabisa..ni mwendo wa kupeana ronja tuYeyote mwenye lonja aitupie humu??