Mkuu asikujaze mtu kitu chochote.mishahara ya wizara ya mambo ya ndani ni sawa na kama inaachana basi kwa kiasi kidogo sana.nilichokua na uhakika nacho ni posho ambayo ni laki 3 pamoja na pesa ya vinywaji ni laki 3 kila baada ya miezi mitatu(posho pamoja na pesa ya vinywaji ipo sawa kuanzia TPDF mbaka wizara ya mambo ya ndani)Kuna Uzi upo habari mchanganyiko
Ndio mkuu yani utofauti kama upo kwa kwa wizara ya mambo ya ndani basi no mdogo sana kwenye mshahara.ila nakubaliana na mdau mmona pale juu ambae alisema kwa mtu ambae hana fani kabisa mshahara wake ni laki 4 na sidhani kama ni chini ya hapoBasi wanafanana tu
Nadhani hadi tar24 kama walivyofanya polisiHIV ni kweli kesho wanatoa majina?
Nadhani hadi tar24 kama walivyofanya polisi
Ndio ya polisi yalitokaga tar24Hivi majina polisi yalitokaga tar 24..?
Aende tu akiona hakumfai ataacha kazi haikatazwiAnaenda magereza lkn hajui chochote ni njaa tu
Aende tu akiona hakumfai ataacha kazi haikatazwi
safi kaka waelekeze vijana wasichague kazi ajira ngumu saiz...Nawakumbusha haya maisha usidharau kazi ya mwenzio, leo hali tete watu wanatamani kulinda wafungwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna nyuzi nyingi tu humu mi binafsi huwa nawatetea sana askari kuna wakati wadau wa humu waliniita Polisi mara askari Magereza n.k lakini yote walikuwa wananiponda, mimi sio askari lakini niliyabeba yote hayo. Watanzania heshimuni kazi za wenzenu
Me hata sielewi maana nachanganyikiwa nilihisi ijumaa lakini ikapitaa Sasa sijui wanatuchukuliaje Hawa magereza na uhamiaji sisi tunazitaka kazi hizo
Ndio IT
Jeshi ukichoka unatembea tu siwewe ndo uliomba kujiunga ukiona hapakulipi tembea mbeleKumbe inaruhusiwa kuacha kazi ukitaka..??
Una wenge sana ww kijana ebu punguza pressureMe hata sielewi maana nachanganyikiwa nilihisi ijumaa lakini ikapitaa Sasa sijui wanatuchukuliaje Hawa magereza na uhamiaji sisi tunazitaka kazi hizo