Kwan magereza nao si wataweka PDF ya walioitwa interview au watapiga simuMteru ni jambo baya sana, mungu ni wetu sote in case mambo yakikunyookea hauna haja ya ku hustle
Muda ukifika kila kitu kitakuwa hadharaniKwan magereza nao si wataweka PDF ya walioitwa interview au watapiga simu
Kwa waliotuma mikoani interview zishamalizika nazaniHawa Magereza mbona kimya sana?
Vipi tenaMambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kwa waliotuma mikoani interview zishamalizika nazani
Kwa wenye fani sioYaap almost done [emoji736]...! Ngoja tusubir week hii ya mwisho wa mwezi wanaweza wakatoa mkeka...
Kwa wenye fani sio
SawaaEee kwa wenye fani boss
Sawaa
Wenye fan ngoma ishapita juu juu uko samahanini kwa kuwajuza hichi
Bila samahani, tunashukuruWenye fan ngoma ishapita juu juu uko samahanini kwa kuwajuza hichi
Bila samahani, tunashukuru
usahil wa nn,bora watoe moja kwa moja tu mkuuHahahahahaha hilo haliwezekani kaka....tuwe na subra tuu lazima watoe majina ya usaili..
usahil wa nn,bora watoe moja kwa moja tu mkuu
hebu tuone,lkn kwann waite kwenye usail wakat profesional wanazotaka wanaweza kuselect watu wao? usail wa nn?Hilo haliwezekani kk....usaili lazima