Kama uliombea makao makuu...mkeka si wameutoa Jana...kwahiyo utacheki mkeka ulitumwa online....kwahyo utafute utaupata maana niliuona lakini siku deal nao aidha ningekutumia hapaKama uliombea Makao makuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uliombea makao makuu...mkeka si wameutoa Jana...kwahiyo utacheki mkeka ulitumwa online....kwahyo utafute utaupata maana niliuona lakini siku deal nao aidha ningekutumia hapaKama uliombea Makao makuu?
It means magereza wameshatoa majina mbona sijayaona ?????Kama Kuna mwenye info aje atueleatupatieKama uliombea makao makuu...mkeka si wameutoa Jana...kwahiyo utacheki mkeka ulitumwa online....kwahyo utafute utaupata maana niliuona lakini siku deal nao aidha ningekutumia hapa
Magereza bado hawajatoaIt means magereza wameshatoa majina mbona sijayaona ?????Kama Kuna mwenye info aje atueleatupatie
Nashangaa watu mnaulizia mkeka wakati watu wameshapigiwa simu na toka Jana wameanza kuripoti chuoni KIWIRA MBEYA. wengi wamechukuliwa kutoka makambi ya jkt
Kwa hiyo?uongo
kwa kidato cha 4 usaili songea ulikua juz, vijana walikua 5 ikabidi wengine wakachukuliwe kambini mlale jumla wakawa 17, hyo ni ngazi ya mkoa, majibu waliambiwa yatatoka pamoja na majina ya wenye fani
Kwa hiyo?
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]et kwa speed nyingiii sana
Sasa wanasema hawataki wasomi kwenye tangazo leo wanatangaza nini, Kama sio kuharibu pesa za mwananchi, wawe wanasema tunataka tu waliofeli inajulikana.Waziri amesema wasomi hawafai kuwa walinzi[emoji23] kaka we nenda mtaani tafuta hela utanishukuru
Mkeka wa wapi mkuu Magereza or?Kama uliombea makao makuu...mkeka si wameutoa Jana...kwahiyo utacheki mkeka ulitumwa online....kwahyo utafute utaupata maana niliuona lakini siku deal nao aidha ningekutumia hapa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 si bora wasemo mpema watu tutulie tuLabda hawataki mambo ya usaili [emoji1][emoji1]kwamba wakitoa majina watu wanaenda depo moja kwa moja
watakua wamefanya vzr sanLabda hawataki mambo ya usaili [emoji1][emoji1]kwamba wakitoa majina watu wanaenda depo moja kwa moja
Kuhusu vipimo vya afya itakuaje hahahawatakua wamefanya vzr san
afya watapima kbla ya kwenda kozKuhusu vipimo vya afya itakuaje hahaha
Usaili Ni muhimu Sana kabla kwenda depo, sema tu wameamua kukausha ili wawaweke ndugu zao kwanza wajae.Labda hawataki mambo ya usaili [emoji1][emoji1]kwamba wakitoa majina watu wanaenda depo moja kwa moja