Gogo Kavu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2021
- 245
- 231
Desemba ni lonja za tpdf mkuu co magerezaZikipita hizo tarehe, ndo mpaka desember.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Desemba ni lonja za tpdf mkuu co magerezaZikipita hizo tarehe, ndo mpaka desember.
Sawa kiongozi ngoja tuwasikilizie .Desemba ni lonja za tpdf mkuu co magereza
Pamoja Sana boss...ngoja tusubir wenye kujua mkeka wa Pdf ni lini watatufahamishaLonja
Usahili jeshi la magereza wale wa taaluma utafanyikia dodoma,ko watu wajiandae.....kuhusu majina Sijajua ni linp
Dah Kaka nikadhan Ni mm peke angu nasubilia kwa ham kumbe tuko wengi😂😂😂😂Daaaaah ile tarehe 3 ishapita iviivi yanbila mkeka [emoji22]
Dah Kaka nikadhan Ni mm peke angu nasubilia kwa ham kumbe tuko wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah Kaka nikadhan Ni mm peke angu nasubilia kwa ham kumbe tuko wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tuone na kesho trh 4, kama masikhara na week nyingine inakata mdogomdogoDaaaaah ile tarehe 3 ishapita iviivi yanbila mkeka [emoji22]
Ngoja tuone na kesho trh 4, kama masikhara na week nyingine inakata mdogomdogo
Kwa mtakaofanikiwa kuingia kwenye chombo hiki, hakikisheni mnajiendeleza kielimu mpate taaluma yoyote mapema iwezekanavyo.
Laasivyo utaishi sawa tuu na mfungwa ila wa kifungo cha nje. Wafungwa wakiwa kwenye genge shamba juani au kwenye mvua unasimama nao huku umevaa silaha begani hadi ugoro upauke. Wakiwa genge mpunga unazama kwenye tope, wakiwa ndani ya ngome nawe unafungiwa ndani kama centry guard. Hautapanda cheo ukitorokewa na mfungwa(ni rahisi sana kutorokewa endapo utakuwa mkuda na huna mahusiano mazuri na nyampara wa genge lako). Magereza ni jeshi lililosahaulika sana katika nyanja nyingi kutokana na wajelajela wanoko ambao wengine hadi wanakaribia ku staafu ndipo mtu anaambukia jiwe1. Hao watakubana sana usioande, sababu hauna taaluma na ndio ma senior wako waku recomend jina lako kwenda NCO. Yapo mengi sana na mazuri pia yapo yakutosha. Chombo hiki kimeanza kuboreka baada ya ujion wa CGP Brigadier General Said Mzee. Huyu mwamba ni mjeshi mjeshi kweli toka JWTZ. Siyo mjelajela hivyo amejitahidi sana kuondoa ule ujelajela wa kizamani. Nikawaida askari wengine kulipwa hela ya pango na wengine wasipate wakati wote mnaishi nje ya kambi. Yapo mazuri na ya kufurahisha pia.
Sijui kwanin magereza wanasahaulika hivoKwa mtakaofanikiwa kuingia kwenye chombo hiki, hakikisheni mnajiendeleza kielimu mpate taaluma yoyote mapema iwezekanavyo.
Laasivyo utaishi sawa tuu na mfungwa ila wa kifungo cha nje. Wafungwa wakiwa kwenye genge shamba juani au kwenye mvua unasimama nao huku umevaa silaha begani hadi ugoro upauke. Wakiwa genge mpunga unazama kwenye tope, wakiwa ndani ya ngome nawe unafungiwa ndani kama centry guard. Hautapanda cheo ukitorokewa na mfungwa(ni rahisi sana kutorokewa endapo utakuwa mkuda na huna mahusiano mazuri na nyampara wa genge lako). Magereza ni jeshi lililosahaulika sana katika nyanja nyingi kutokana na wajelajela wanoko ambao wengine hadi wanakaribia ku staafu ndipo mtu anaambulia jiwe1. Hao watakubana sana usipande, sababu hauna taaluma na ndio ma senior wako waku recomend jina lako kwenda NCO. Yapo mengi sana na mazuri pia yapo yakutosha. Chombo hiki kimeanza kuboreka baada ya ujio wa CGP Brigadier General Said Mzee. Huyu mwamba ni mjeshi mjeshi kweli toka JWTZ. Siyo mjelajela hivyo amejitahidi sana kuondoa ule ujelajela wa kizamani. Nikawaida askari wengine kulipwa hela ya pango na wengine wasipate wakati wote mnaishi nje ya kambi. Yapo mazuri na ya kufurahisha pia.
Xo kweli kama ndo hivyo kwanini poliisi mwenye degree mfano hizi za social science alipwe 860000 afu askari magereza kwa level hyoo n 750000 hili swala walilijadili bungeni mwakajana kbsMbona watu wanasema vyombo vyote vya ulinzi vilivyopo wizara ya mambo ya ndani,kwamba maslahi yao wote ni sawa....au inakuaje mnaposema wamesahaulika..?
Xo kweli kama ndo hivyo kwanini poliisi mwenye degree mfano hizi za social science alipwe 860000 afu askari magereza kwa level hyoo n 750000 hili swala walilijadili bungeni mwakajana kbs
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
👏👏Kwa mtakaofanikiwa kuingia kwenye chombo hiki, hakikisheni mnajiendeleza kielimu mpate taaluma yoyote mapema iwezekanavyo.
Laasivyo utaishi sawa tuu na mfungwa ila wa kifungo cha nje. Wafungwa wakiwa kwenye genge shamba juani au kwenye mvua unasimama nao huku umevaa silaha begani hadi ugoro upauke. Wakiwa genge mpunga unazama kwenye tope, wakiwa ndani ya ngome nawe unafungiwa ndani kama centry guard. Hautapanda cheo ukitorokewa na mfungwa(ni rahisi sana kutorokewa endapo utakuwa mkuda na huna mahusiano mazuri na nyampara wa genge lako). Magereza ni jeshi lililosahaulika sana katika nyanja nyingi kutokana na wajelajela wanoko ambao wengine hadi wanakaribia ku staafu ndipo mtu anaambulia jiwe1. Hao watakubana sana usipande, sababu hauna taaluma na ndio ma senior wako waku recomend jina lako kwenda NCO. Yapo mengi sana na mazuri pia yapo yakutosha. Chombo hiki kimeanza kuboreka baada ya ujio wa CGP Brigadier General Said Mzee. Huyu mwamba ni mjeshi mjeshi kweli toka JWTZ. Siyo mjelajela hivyo amejitahidi sana kuondoa ule ujelajela wa kizamani. Nikawaida askari wengine kulipwa hela ya pango na wengine wasipate wakati wote mnaishi nje ya kambi. Yapo mazuri na ya kufurahisha pia.
Mmh! atar sana,kwann wizara ya mambo ya ndan wasilipwe hela sawa