Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi TPDF ni lini maana hii ndo November yenyewe aisee
jeshini Azwear Ni nyingi Sana.Inawezekana aisee duh sio poah
Inawezekana aisee duh sio poah
Itakuwa nenda kamwambie kama diamond.IKIFIKA TAREHE 10 magereza HAWAJATOA MAJINA AAAH NDIO BASI TENA
Itakuwa nenda kamwambie kama diamond.
😃😃😃😃😃😃Tarehe 10 bro? Hiyo si december kabisa.IKIFIKA TAREHE 10 magereza HAWAJATOA MAJINA AAAH NDIO BASI TENA
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Tarehe 10 bro? Hiyo si december kabisa.
🤣🤣🤣🤣 Kaka unazingua deadline si ilikuwa mwezi jana hii November vipi tena.Nimewaza nikaona labda wanataka kutoa tarehe ambayo ndio ilikua deadline ya kutuma maombi.....sasa wakizingua hapo doooh[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kaka unazingua deadline si ilikuwa mwezi jana hii November vipi tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kaka unazingua deadline si ilikuwa mwezi jana hii November vipi tena.
Ndio Kaka niliomba makao makuu, tuombee uzima wakituma lazima tukutane huko.🤣🤣🤣🤣 Tuendelee kuvuta subiraKaka vipi wewe uliomba makao makuu..??? Maana naona tunafarijiana sana huenda tukaenda wote depo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio Kaka niliomba makao makuu, tuombee uzima wakituma lazima tukutane huko.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tuendelee kuvuta subira
Ndio Kaka niliomba makao makuu, tuombee uzima wakituma lazima tukutane huko.🤣🤣🤣🤣 Tuendelee kuvuta subira.
KabisaSawasawa,wacha tusubiri naamini tumo kwenye list,mungu wa kwetu sote [emoji120]
Vipi mkuu kinataka kunuka?Mkao wa kula..[emoji860][emoji860]
Vipi Kaka tuelezeee vizuriMkao wa kula..[emoji860][emoji860]
Me nasikia j3 kina happen