Gogo Kavu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2021
- 245
- 231
Ndio ..nimeckia izo tetesiKesho au sio..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ..nimeckia izo tetesiKesho au sio..?
Ndio ..nimeckia izo tetesi
Mmmh labda ngoja tuone kwa sababu hata tovuti yao imekuwa suspended kwa muda pengine wanataka ku upload pdf.Me nasikia j3 kina happen
Mmmh labda ngoja tuone kwa sababu hata tovuti yao imekuwa suspended kwa muda pengine wanataka ku upload pdf.
Point noted mkuuLAKINI WAKUBWA IWAPO WATU WATAPATA TUPEANE FEEDBACK HUMU NDANI ILI TUJUANE TUKAENDELEZE UNDUGU DEPO
Tusikimbiane humu kutoa feedback wakuu
Dah Basi watakuwa wanazingua ,kikubwa tujipe moyo kuanzia keshoHao jamaa sjui wanashida gan....kuna kipindi kama 3weeks zilizopita hio tovuti yao ilikua suspended Ivoivo
Ngoja tuone hio kesho
Majibu yanafariji lakini ukisika mtu anamalizia "tetesi nazosikia" Yani inaleta disappointed kdg[emoji846]
Yani bora , PT , ila magereza ni majanga matupu kuna sintofahamu nyingi sana maana mambo yao hayako wazi kama polisi,Hatimae J3 imefika[emoji847]
Yani bora , PT , ila magereza ni majanga matupu kuna sintofahamu nyingi sana maana mambo yao hayako wazi kama polisi,
Mimi huwa na sema , kama huna connection, africa kupata kazi ni swala zito Sana, embu check gap la ajira toka enzi za magufuli, operation zilizo rudi nyamban, wahitimu wa vyuo vikuu, kila mwaka 100k wanamaliza, alfu wametoa ajira 8000, ni mambo ya ovyo sanaNi kweli aisee....hawa jamaa wana jambo Lao...
Mimi huwa na sema , kama huna connection, africa kupata kazi ni swala zito Sana, embu check gap la ajira toka enzi za magufuli, operation zilizo rudi nyamban, wahitimu wa vyuo vikuu, kila mwaka 100k wanamaliza, alfu wametoa ajira 8000, ni mambo ya ovyo sana
Tuendelee kuwa na subira tuu
Sure, wange achia tu mkeka wao tuone mbivu na mbichi ili tuendelee na mapambano mengine,Wanakatisha tamaa hawa jamaa
Hii wiki ikikata hawajatoa huo mkeka, ndugu ndo tungojee mpaka december, maana Kuna intake iliwahi kufanyika 14 december , ko nikijaribu kuconnect na kipindi hiki naona kabisa huu mkeka wa Sasa unanunikia December.