Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaki povu mkali 😂Wakubwa anaejua mishahara upande wa magereza atupe mwanga kidog
Mfano mwalimu wa physics degree upoje mshahara wake
usitoe povu kama huna comment nzuri wazee sio kwa ubayaa
Utaki povu mkali [emoji23]
mzee uliaplai kuptia physcs?Eeee maaana nawajua wana jf utaskia wewe hio kazi haikufai Sababu huna uzalendoo
Wengine utaskia bora awe jobless kuliko kua afande jela yan mapovu mengi tu
mzee uliaplai kuptia physcs?
Kwa degree za social science hz km ualimu cjui procurement ni 750000 ko utajumlisha na posho ya 300000 kuhusu professional allowance cjui n sh ngapi kwa magerezaWakubwa anaejua mishahara upande wa magereza atupe mwanga kidog
Mfano mwalimu wa physics degree upoje mshahara wake
usitoe povu kama huna comment nzuri wazee sio kwa ubayaa
Kwa degree za social science hz km ualimu cjui procurement ni 750000 ko utajumlisha na posho ya 300000 kuhusu professional allowance cjui n sh ngapi kwa magereza
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Professional allowance n posho ya ujuzi mfano kwa MTU mwenye taaluma km huyo bwana alivosema yeye n mwalimu kwa kawaida kwenye majeshi haya huwa kuna hyo posho ya ujuzi lazima ulipwe sasa mbali na mshahara mbali na posho ya kawaida ila cjajua huwa wanapata ngapi aiseProfessional allowance unamaanisha nini kiongozi sorry..!
Professional allowance n posho ya ujuzi mfano kwa MTU mwenye taaluma km huyo bwana alivosema yeye n mwalimu kwa kawaida kwenye majeshi haya huwa kuna hyo posho ya ujuzi lazima ulipwe sasa mbali na mshahara mbali na posho ya kawaida ila cjajua huwa wanapata ngapi aise
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Fire na wenyewe bado hawajatoa kwa watu wake aisee waliombea makao kama fire kama magereza ,aiseeMagereza aise wamebaki nyuma kwa kweli..Mana uhamiaji wapo chap na wametoa majina ya kuingia kazini baada ya kozi Yao wanayoanza December Tanga
Kwa mambo ya ndani sijawahi kuhisikia P.A zaidi ya kuisikia jw ndo nasikia ipo hyo P.A ,,,anaejua adadavue vzrProfessional allowance n posho ya ujuzi mfano kwa MTU mwenye taaluma km huyo bwana alivosema yeye n mwalimu kwa kawaida kwenye majeshi haya huwa kuna hyo posho ya ujuzi lazima ulipwe sasa mbali na mshahara mbali na posho ya kawaida ila cjajua huwa wanapata ngapi aise
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kwa mambo ya ndani sijawahi kuhisikia P.A zaidi ya kuisikia jw ndo nasikia ipo hyo P.A ,,,anaejua adadavue vzr
Yaaap ndo IPO hivoAnhaaaaa nice nimekupata bro.....kumbe mshahara ni mshahara kama kawaida kama waserikalini kwa taaluma yako afu kinachoongezeka ni hizo posho au
Hata wizara ya mambo ya ndani professional allowance wanalipwa sio jw tu ndo mn nimesema sijajua n kias gani lkn wanapewa pia km una taalumaNice atupe na mfano wa taaluma Yoyote kwa Magereza anapata hio proffesional allowance kiasi gani ili tupate picha halisi
Hakuna mwalimu wa Physics kule.Wakubwa anaejua mishahara upande wa magereza atupe mwanga kidog
Mfano mwalimu wa physics degree upoje mshahara wake
usitoe povu kama huna comment nzuri wazee sio kwa ubayaa
Hakuna mwalimu wa Physics kule.
Ukiingia unaajiriwa kama askari Magereza, na mishahara iko kielimu kwahyo ukiingia usijiite sjui mwalimu wa Physics we jiite askari Magereza.
Mshahara wa first degree ni 700K+ kama basic
Ongeza na ration ya 300K per month...
Ukiwa umepigwa na life unaweza kudhani ni ela nyingi sana hizo ila kiukweli waongezewe tu life tigjt sana na kazi zao zile ni ngumu hawapati time....
Hata wizara ya mambo ya ndani professional allowance wanalipwa sio jw tu ndo mn nimesema sijajua n kias gani lkn wanapewa pia km una taaluma
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
15% ya mshahara.Professional allowance n posho ya ujuzi mfano kwa MTU mwenye taaluma km huyo bwana alivosema yeye n mwalimu kwa kawaida kwenye majeshi haya huwa kuna hyo posho ya ujuzi lazima ulipwe sasa mbali na mshahara mbali na posho ya kawaida ila cjajua huwa wanapata ngapi aise
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
10% ya mshahara.