Cha muhimu kitakacho anza hicho hicho tunadeal nacho ndg zangNdio uzuri wake huo....lakini wakitoa magereza kabla ya jw duh ukipata bora usepe tuu Magereza maaaana jw hadi mtoto wa wazir anaitaka ko ushindani wake sio kitoto
Cha muhimu kitakacho anza hicho hicho tunadeal nacho ndg zang
Kati ya TAKUKURU na JWTZ wapi ukienda utakuwa umeotea mchongo?
Kati ya TAKUKURU na JWTZ wapi ukienda utakuwa umeotea mchongo?
Kati ya TAKUKURU na JWTZ wapi ukienda utakuwa umeotea mchongo?
Magereza kimya sana aissee wangetuambia tuu tarehe ya kuripoti tujiandae
Wanaboa sanaaaa yan wamefeli.........lakini pengine huenda watu wakaenda kozi moja kwa moja pasipo usahili...
Oy makamanda tujiandae na Azwear ya Magereza 🤣🤣🤣🤣🤣Wanaboa sanaaaa yan wamefeli.........lakini pengine huenda watu wakaenda kozi moja kwa moja pasipo usahili...
Kwa nnOy makamanda tujiandae na Azwear ya Magereza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mujib wa sheria washaanza kuripoti kambi ya makutupora kuanzia janaSwali langu ni kwamba je Mujibu wa sheria wanachukua? Au ndo tupambane na hali zetu.?
Usi kalili wale wa kurasini walikua madaktari special course hutaamini kuona watu wamemaliza course ya jw na haujui walienda liHawa jamaa hawatakagi kigezo cha jkt kwanza labda waanze mwaka huu
Na kama wakitaka jkt hata wewe mujibu unahusika
Kibogi cha kwanza kwenda rts ni wajenzi wa ikulu halafu makambin watabeba kutokana na mahitajiHawa jamaa hawatakagi kigezo cha jkt kwanza labda waanze mwaka huu
Na kama wakitaka jkt hata wewe mujibu unahusika
Hebu iweke saw hii mkuu.. wanaripoti kutokea wapi? Kwa lengo lipi na wa operesheni ipi ?Mujib wa sheria washaanza kuripoti kambi ya makutupora kuanzia jana
Mmmh ...kwa walio kitaa VP ? Si hali itakuwa ngumu ,na cjui watatumia utaratibu gaani kuwakumbuka kuwachukuaKibogi cha kwanza kwenda rts ni wajenzi wa ikulu halafu makambin watabeba kutokana na mahitaji
Itakuwa hawa waliomaliza depo majuzi,kila mwaka wanawachukua kwa ajili ya degree ya kijeshi hivi ya military science nazan auHebu iweke saw hii mkuu.. wanaripoti kutokea wapi? Kwa lengo lipi na wa operesheni ipi ?
Fire nao bado hawajatoa majibu nao kama magereza tu aiseee😅😅Oy makamanda tujiandae na Azwear ya Magereza 🤣🤣🤣🤣🤣
We jikute genius Jamii forumsSijakataaa lakini ukiajiriwa kama mwalimu means utaenda kufanya kazi kwenye shule yao ya sekondary ya magereza
Form 6 wa millitary science ambao ni mujib wa sheria wanapewa hicho kipaumbele course za uaskali waachieni tuu nduguzenu wakujitoleaHebu iweke saw hii mkuu.. wanaripoti kutokea wapi? Kwa lengo lipi na wa operesheni ipi ?