Wanjax jr
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 491
- 1,261
Cha muhimu kitakacho anza hicho hicho tunadeal nacho ndg zangNdio uzuri wake huo....lakini wakitoa magereza kabla ya jw duh ukipata bora usepe tuu Magereza maaaana jw hadi mtoto wa wazir anaitaka ko ushindani wake sio kitoto