Oy makamanda tujiandae na Azwear ya Magereza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu siunaona wapo kimya mkuu!huu ukimya unahashilia nnAaah mzee unatutisha ujue..? Hebu tuambie kwann wasema ivo..!
Umejuaje mkuu?Walioomba magereza makao makuu list ya majina ya usaili haifiki 150.
Hujapata hata Moja na hata dalili huwenda hauna Sasa unauliza mchongo je ni kweli?Kati ya TAKUKURU na JWTZ wapi ukienda utakuwa umeotea mchongo?
Kaka umeongea kwa uchungu Sana daah!Imani inalipa. Kama kupata kwa zamu na mimi yangu itafika.
Hawa jamaa na zimamoto wanakosesha watu usingizi sio siriMungu ni wa kwetu sote mkuu tutapata tu
Hawa jamaa na zimamoto wanakosesha watu usingizi sio siri
akikujibu nitagUmejuaje mkuu?
Ni uzembe wa hali ya juu yaan bora mambo ya ndani wangemalzana na watu wao mapemaAisee acha tuu......pengine wanataka jw wachukue watu wao kwanza
Kama huna taarifa ya uhakika unatulia tu kama wengine tunasubiri.Walioomba magereza makao makuu list ya majina ya usaili haifiki 150.
Mkuu Hawa watu sio wa kutegemea , inabidi tuchukulie Kama hawakutoa nafasi ya kutuma maombi .Hawa jamaa na zimamoto wanakosesha watu usingizi sio siri
Ni wazo zuri jpo ku assume ndo inakua ngumu kamandaMkuu Hawa watu sio wa kutegemea , inabidi tuchukulie Kama hawakutoa nafasi ya kutuma maombi .
Ni wazo zuri jpo ku assume ndo inakua ngumu kamanda
Au kumbukumbu zao za majina virus katafuna zote wanafikiria waanzie wp kusem tutume upya maombiMinadhani tuendelee kujipa matumaini hizi week 2.....watatoa tuu japo subra ngumu
Tpdf daah hawa jamaa
Mkuu virus Tena?🤣🤣🤣🤣Au kumbukumbu zao za majina virus katafuna zote wanafikiria waanzie wp kusem tutume upya maombi
Wamefanyaje kaka