Msaada interview za Jeshi la Magereza

Tatizo la kuruta Hulu mnataka MAGEREZA TZ wafuate matakwa yenu. Kila kazi inafanywa Kwa utaratibu na mipango yake. ushauri wangu Ni kwamba endeleeni kusubiri mpaka siku watakapokamilisha taratibu zao na kutoa majina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…