fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
Waliomaliza mkataba duuh si wapo kitaa mkuu?Nafasi jumla ni 3100 hazizidi 3200.
Vijana 1600 ndio walikuwa kwenye ujenzi pale Ikulu na shule ya mfano. Kuna wachache sana ambao ambao hawazidi 50 walikuwa ujenzi mirerani na wengine ambao walikua kwenye miradi mingine ambao sijui idadi yao.
Kuna nafasi kama 1000 hivi za gombania goli ambazo zitahusu waliopo vikosini na wale walio maliza mkataba. Hii inaitwa Fighting to the death, only the stronger to survive.
Fanya harakati tpdf halinaga longo longo nyingi ni wewe tu na uwezo wako wa kupapatuaUkisema waliomaliza mikataba na walioko vikosini..je inakuwaje kwa wale ambao walipitaga mujibu idadi ya fighting tit for tat bado ni hiyohiyo 1000?????
Kama walivyo ingia polisi, magereza uhamiaji na zimamoto ndivyo hivyo hivyo wataingia na TPDFWaliomaliza mkataba duuh si wapo kitaa mkuu?
Utaratibu utakuwaje wao kuingia chomboni?
Unaweza nidokeza how? Ili mm nianzishe harakati.. maana opportunity ni kubwa kwa ambao wako vikosini kuliko tuliopo mtaa. Hzo ajira za mambo ya ndani ziko open sana na unapeleka barua ofisi husika je hawa jamaa wakimya kimya ndo sijajua mkuuKama walivyo ingia polisi, magereza uhamiaji na zimamoto ndivyo hivyo hivyo wataingia na TPDF
Nafasi jumla ni 3100 hazizidi 3200.
Vijana 1600 ndio walikuwa kwenye ujenzi pale Ikulu na shule ya mfano. Kuna wachache sana ambao ambao hawazidi 50 walikuwa ujenzi mirerani na wengine ambao walikua kwenye miradi mingine ambao sijui idadi yao.
Kuna nafasi kama 1000 hivi za gombania goli ambazo zitahusu waliopo vikosini na wale walio maliza mkataba. Hii inaitwa Fighting to the death, only the stronger to survive.
Kila mtu anasema lake, jeshi haliwi specific hata siku moja.Yote hayo fresh tuu........watoe hilo tangazo tuu tujue moja kuliko kufanya assumptions tuu
Wakubwa naomba kujua kwamba wale wa magereza wa elimu za juu wamesha itwa kwenye usaili
Bado mkuuWakubwa naomba kujua kwamba wale wa magereza wa elimu za juu wamesha itwa kwenye usaili
Bado mkuu
Yawezekana waombaji walikua wengi sana ndo maana zoezi bado linakua pana kwa upande wao ..but uvumilivu tu unatakiwaDaah jamaa wamezingua parefuuu..?????duh hadi leo sjui wanachambua nn tuu
Yawezekana waombaji walikua wengi sana ndo maana zoezi bado linakua pana kwa upande wao ..but uvumilivu tu unatakiwa
🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu huo uchambuzi ndo Kama waliofanya zimamoto ,mwisho wa siku unajikuta haupo .Duh aisee ni noma sana.....watu subra zinataka kutushinda sema hakuna namna tuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu huo uchambuzi ndo Kama waliofanya zimamoto ,mwisho wa siku unajikuta haupo .
vijana wenzangu tusikate tamaa, tuendeleeni kuvumilia Tu. Mungu ni wetu sote
Wanangu wenye ndoto za Jw tushike jembe tuingie site, wale watoto wa mjini udalali unalipa siku hz. Tukutane kwenye makongamano ya motivesheni spika mwakani.[emoji16]
Inshort wana wote waliohitajika wako Msata saivi wanachukua vipimo. Na hakuna tena tumaini mzeeKwanini mzee...