Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Tatizo mbanga mkuuDuuh mbuzi wa maskini hazai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mbanga mkuuDuuh mbuzi wa maskini hazai
Duuh watoe tangazo tu ila wakisema waende vikosini imekula kwetu ambao hatuna mbangaHii sio lonja tafadhali ni real information
Kuna jamaa yangu mmoja kainipigia simu Jana akaniambia kuwa amepigiwa simu ghafla na akaambiwa Jumatano afike dodoma...nkamwambia hongera sana lakini sikuongea nae meng Mana nilikuwa busy kdg alivyonipigia ila nahisi wanapiga simu kwa watu hao 200 waliopelea na wengne ndo hvyo sehem nyingne nyngne wanachukuliwa pia ili kufika idadiLonja uliyopatav kutoka huo mkeka mwengine ni lini mkuu
Yaani idadi ijatimia duuh 200 wengi hapo kuna watu wamepiga chini hawajaripotiHata walio kozi washaambiwa ivo na tunawasiliana nao maana simu wanatumia bado na hawajaambiw kuzikusanya
Idadi kuwa ndogo ni mistake ilitokea kwa wao kuchukua idadi ndogo kinyume na agizo la 700 ila ambao hawajariport kwa kutopenda ni wachache sana na wengi wao sio watot wa wakulima..wengin waliend kusom tenaYaani idadi ijatimia duuh 200 wengi hapo kuna watu wamepiga chini hawajaripoti
Ila mtu unaitwa magereza hauendi labda kitaa wanachopambania ni tofauti na chetu
Utakuta hapo Jamaa alishakata tamaa baada ya jina lake kutoonekana kwenye mkeka anaangalia ustarabu mwengine mara paap simu [emoji3][emoji3] kuna watu wana Zari nyie sio poaKuna jamaa yangu mmoja kainipigia simu Jana akaniambia kuwa amepigiwa simu ghafla na akaambiwa Jumatano afike dodoma...nkamwambia hongera sana lakini sikuongea nae meng Mana nilikuwa busy kdg alivyonipigia ila nahisi wanapiga simu kwa watu hao 200 waliopelea na wengne ndo hvyo sehem nyingne nyngne wanachukuliwa pia ili kufika idadi
Hapo lazima wachukue reserve kwenye mikeka yao ili kuendana na spidi ya koziIdadi kuwa ndogo ni mistake ilitokea kwa wao kuchukua idadi ndogo kinyume na agizo la 700 ila ambao hawajariport kwa kutopenda ni wachache sana na wengi wao sio watot wa wakulima..wengin waliend kusom tena
Ni ngumu kufanyisha usaili uraiani kwasabb muda sio rafiki tena...ivyo bas kwa makao ni rahis kupata majina ya weny fani kam reserve ila kwa saili zilizokua zkifanyik ngaz za mikoa na wilaya ni ngum kupata majina na taarifa binafsi za waombaj waliokua wameomba ndo maana walioka makambin watanufaika kwa wale wa form four maan ni rahis kuwapat ila kwa kitaa lazm uwe na wa kukushik mkonoHapo lazima wachukue reserve kwenye mikeka yao ili kuendana na spidi ya kozi
Maana kuitisha usaili tena ni process ndefu sana
Mie sasa ni nani ananijua anipigie simu kwa kitu gani labda ...sipo hata kwenye reserve yao ..hizo nafasi nyengine zitajazwa kwa kuuzwa kupitia wabanga tu .Kuna jamaa yangu mmoja kainipigia simu Jana akaniambia kuwa amepigiwa simu ghafla na akaambiwa Jumatano afike dodoma...nkamwambia hongera sana lakini sikuongea nae meng Mana nilikuwa busy kdg alivyonipigia ila nahisi wanapiga simu kwa watu hao 200 waliopelea na wengne ndo hvyo sehem nyingne nyngne wanachukuliwa pia ili kufika idadi
Alipigiwa na watu wa magereza au chombo kingineKuna jamaa yangu mmoja kainipigia simu Jana akaniambia kuwa amepigiwa simu ghafla na akaambiwa Jumatano afike dodoma...nkamwambia hongera sana lakini sikuongea nae meng Mana nilikuwa busy kdg alivyonipigia ila nahisi wanapiga simu kwa watu hao 200 waliopelea na wengne ndo hvyo sehem nyingne nyngne wanachukuliwa pia ili kufika idadi
Walikutanikia sehemu moja wote?Ndio wanaondoka Dodoma usiku huu kuja huko kiwila kesho asubuhi mtakuwa nao . Walipigiwa simu
Lin hyo ?Ndio wanaondoka Dodoma usiku huu kuja huko kiwila kesho asubuhi mtakuwa nao . Walipigiwa simu
Walisema watatoa kwenye web yao iweje wafanye kimya kimya kwenye nyongeza TAKUKURU wako wapNdio wanaondoka Dodoma usiku huu kuja huko kiwila kesho asubuhi mtakuwa nao . Walipigiwa simu
Kiongozi upoWalisema watatoa kwenye web yao iweje wafanye kimya kimya kwenye nyongeza TAKUKURU wako wap