Mkuu Kama umepata mawasiliano na mtu huko at kurutu awaambie kuna wenzangu ambao wana vigezo ila hawakubahatika kupata nafasi na walituma maombi uje utuchukue namba zetu twende zetu kozi ...Mpka wa leo hata 600 hawajafika
Kuna baadhi ya watu hasa wenye majukumu ya haya mambo walitaka ingiza watu kinyemela/kimichongo ndio mana hawakutaka kuita hata interview tujazie Sababu inawezekana Kabisa sisi kufanya interview mikoani mwetu na taarifa zikatumwa kwa haraka tukawasili kuendelea na wenzetu waliokambiniMpka wa leo hata 600 hawajafika
Nafasi zimekua za kimchongo san yan kuna watu waliitwa kujazilizia angali hata kweny usaili magereza hawajawah kuhudhuria yanMkuu Kama umepata mawasiliano na mtu huko at kurutu awaambie kuna wenzangu ambao wana vigezo ila hawakubahatika kupata nafasi na walituma maombi uje utuchukue namba zetu twende zetu kozi ...
Kwa hiyo unamaana ni watu wa michongo?Nafasi zimekua za kimchongo san yan kuna watu waliitwa kujazilizia angali hata kweny usaili magereza hawajawah kuhudhuria yan
So poa mie nimehangaika toka za upolisiNafasi zimekua za kimchongo san yan kuna watu waliitwa kujazilizia angali hata kweny usaili magereza hawajawah kuhudhuria yan
Wanarudi tena jipange.Ubinafsi wao unawaumbua wenyewe hizo nafasi zilikuwa zetu ..mungu mkubwa ata maovu haya anayaona
Watakuwa ni nani na ni Lini ?Wanarudi tena jipange.
Sahivi si hata course imekaribia na kuisha aiseWatakuwa ni nani na ni Lini ?
Wewe andaa vyeti wajelajela wanakuja soon kuchukua people za kutosha mara mbili ya wale wa awaliWatakuwa ni nani na ni Lini ?
Mama si alisema haajiri majeshi tenaWewe andaa vyeti wajelajela wanakuja soon kuchukua people za kutosha mara mbili ya wale wa awali
KumbeSahivi si hata course imekaribia na kuisha aise
Duh ngoja tuone mn mama aliwapiga biti kuwa hatoajiliWewe andaa vyeti wajelajela wanakuja soon kuchukua people za kutosha mara mbili ya wale wa awali
Nasikia kuna Nafasi kaka zinakuja mwezi wa Saba hapoKumbe
Wamalize tu wachukue wengine
Mkuu hiyo lonja ya bogi kubwa umeisikia mwezi wa Saba ati?Nackia bado bogi lingine litafata ili kukamilish 700
Mkuu tupe lonja wewe upo huko koziMinazi inasimamishwa kama kawa, hata juzi kuna muhuni kapiga show pembeni ya uwanja wa damu kwenye Disco la usiku.
Jipange zinakuja kweliKuna lonja nimesikia kuna Nafasi nyengine nyingi Sana zinakuja zakumwaga mara mbili au mara tatu ya zile za mwanzo
Acha masikhara basi ni wa kina nani ?Nasikia kuna Nafasi kaka zinakuja mwezi wa Saba hapo