Sawa sawa boss tupo pamoja.Huko Makambini JW wanabeba yeyote tu hadi la saba sifa damu tu na uimara wa mwili au fani ya watu husika waliotaka kwa wakati huo mfano mwaka huu kama walivyochukua watu wa afya na wahandisi
Magereza ume apply ?Sawa sawa boss tupo pamoja.
Hapana magereza ule urefu sitoboi[emoji23]Magereza ume apply ?
Mkuu kwamba we ni mfupi sana [emoji1787]Hapana magereza ule urefu sitoboi[emoji23]
Daah kuna watu hawakai kitaa kabisaIla haya maisha acha tu, kuna mwanangu kamaliza Bachelor yake mwaka jana ya wildlife pale Mlimani, yaan hata mahafali hakufanya kaunganisha TPDF kwa kutumia chet cha mujibu washeria na msela anadai babu yake ndio alipiga mchongo wote.
Namzidi steve nyerere[emoji23]Mkuu kwamba we ni mfupi sana [emoji1787]
Tutegeme bahati sawa lakani kama kuna uwezekano wa kutafauta connection tafuta hata kama kwa pesa, chamuhimu ujue matapeli ni wapi.Daah kuna watu hawakai kitaa kabisa
Sio poa.kuna za mahakama zimetoka ni kilio tuDaah kuna watu hawakai kitaa kabisa
Daah pole sana [emoji3]Namzidi steve nyerere[emoji23]
Connection muhimu kila mtu hula kutokana na urefu wa kambaTutegeme bahati sawa lakani kama kuna uwezekano wa kutafauta connection tafuta hata kama kwa pesa, chamuhimu ujue matapeli ni wapi.
Zile nasikia wamechukua intern wao [emoji3] .. waliobakia ni pangaSio poa.kuna za mahakama zimetoka ni kilio tu
Jamani maisha makali sana huku uraiani ...eeeh mungu tupiganie tutoboe
Cha jkt unacho mkuu?Ila wakuu me hivi vyeti vyangu sijawahi kula matunda yake . Nafas za majeshi zimetoka nyingi mno lkn hola sasa huu nwaka ni mwaka wangu wa mwisho sitoomba tena ..pengine rizki haipo huko
NdioCha jkt unacho mkuu?
Magereza ushatuma maombiNdio
Ndio mkuuMagereza ushatuma maombi
Safi . kilichobakia tuombe Mungu tuNdio mkuu