Msaada interview za Jeshi la Magereza

Nimepewa fununu eti majeshi yatapita tena baada ya sensa sjui kweli?
 
Pia ukiwa kwenye combat ya karanga prison tanpol unaona ni wazabuni tu wao mawazo ni mtipidii
Daah sema magereza wana mazoezi magumu sana na atlest Magufuli aliwabadilisha hawa watu mindsite ndio maana ni miongoni mwa jeshi linalojitegemea sasa ktk kujiendesha daah sema ukiwa warder utapiga kazi mpka basi vijana jobless hatuna namna [emoji3][emoji3] ni kukubali tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…