SHT
Senior Member
- Jun 14, 2022
- 132
- 102
Kabisa kakaInategemea wanaweza wasiwepo kabisa au wakawa wachache
Mara nyingi mujibu wa sheria ni wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kakaInategemea wanaweza wasiwepo kabisa au wakawa wachache
Mara nyingi mujibu wa sheria ni wengi
Kumbuka kuna vijana maservice wapatao 13000 waliapa mwaka huu February nao wapoMakaranga si watakuwepo ?hawa ndio washindani wetu
Na bado kuna wengine ambao waliingia 2019 bado wapo vikosini hawaajaajiriwaKumbuka kuna vijana maservice wapatao 13000 waliapa mwaka huu February nao wapo
Ivi vikisini si wakichukuliwaga karibia wote lknInategemea wanaweza wasiwepo kabisa au wakawa wachache
Mara nyingi mujibu wa sheria ni wengi
Wote wapi baba vikosi vina service kbao shida magereza vigezo vyao sio specific jeshi tamu ni tanpol ule urefu na ufaulu unapunguzaga watuIvi vikisini si wakichukuliwaga karibia wote lkn
Kuna wale waliosamehewa au walienda jwtzKumbuka kuna vijana maservice wapatao 13000 waliapa mwaka huu February nao wapo
Wale wanaenda TPdf ndo wanaunganishwa na madaktar sjui au sjui ndo wanamalizia kozi nmesahau kidgo Ile lonjaKuna wale waliosamehewa au walienda jwtz
Na pia ukumbuke age limit ni 25Kumbuka kuna vijana maservice wapatao 13000 waliapa mwaka huu February nao wapo
Yah mzee hii nayo inapunguza kundiNa pia ukumbuke age limit ni 25
Hii imewazuia wengi sana
Watachukuliwa yeyote au pia nao fani ?Nimepewa fununu eti majeshi yatapita tena baada ya sensa sjui kweli?
Sijapewa briefly na source yangu haijui mambo ya kijeshi sana ila lonja imetoka kwa makamanda wakubwa wa tanpolWatachukuliwa yeyote au pia nao fani ?
Mwaka jana tanga kwenye usaili karanga walikuwa watatu sasa jiulize tanga zipo kambi ngapi ?Ivi vikisini si wakichukuliwaga karibia wote lkn
Pia ukiwa kwenye combat ya karanga prison tanpol unaona ni wazabuni tu wao mawazo ni mtipidiiMwaka jana tanga kwenye usaili karanga walikuwa watatu sasa jiulize tanga zipo kambi ngapi ?
Magereza halijawahi pendwa ma serviceman wanapenda sana polisi ,jw ,Tanapa ,na atlest uhamiaji na hata fire hata sidhani kama wanapendaWote wapi baba vikosi vina service kbao shida magereza vigezo vyao sio specific jeshi tamu ni tanpol ule urefu na ufaulu unapunguzaga watu
Kikosini kwetu ilkua siku ya usaili ya majeshi mengine service wanaenda kuoga ziwani kutwa😅Magereza halijawahi pendwa ma serviceman wanapenda sana polisi ,jw ,Tanapa ,na atlest uhamiaji na hata fire hata sidhani kama wanapenda
Daah sema magereza wana mazoezi magumu sana na atlest Magufuli aliwabadilisha hawa watu mindsite ndio maana ni miongoni mwa jeshi linalojitegemea sasa ktk kujiendesha daah sema ukiwa warder utapiga kazi mpka basi vijana jobless hatuna namna [emoji3][emoji3] ni kukubali tuPia ukiwa kwenye combat ya karanga prison tanpol unaona ni wazabuni tu wao mawazo ni mtipidii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kikosini kwetu ilkua siku ya usaili ya majeshi mengine service wanaenda kuoga ziwani kutwa[emoji28]
Baba huu mwaka lazima tuondoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakumbuka Usaili wa magereza raia hawatokei