Msaada interview za Jeshi la Magereza

Vile ulivyodhania kutakuwa na saili mbili ni sivyo Naona usaili ni ule ule mmoja tu kaka.tusubirie jikeka
Daah basi washkaji wana bahati sana sisi tumepiga wilayani wale tuliopita wilayani tukaenda kupiga mkoani tena


Daah tusubiri tu huu mkeka ....
 
mkuu ile ishu alinambia yy alitinga mafunzoni bila tranka na hashauri mtu kuenda na tranka kozini .kuna kua na perceptions fulani kama wakuja hvii
Na wizi inakuaje hapo maana obviously ukienda na simu lazima utahifadhi kwenye hilo begi hapo ukisikia kuchanwa na wembe mtu aivute ndio hapo sasa
 
Daah basi washkaji wana bahati sana sisi tumepiga wilayani wale tuliopita wilayani tukaenda kupiga mkoani tena


Daah tusubiri tu huu mkeka ....
Mmhh bac yawezekana waliitwa me sikuitwa ...bac simo ngoja nisubirie sensa tu popote Kambi
 
Sema sasa hivi kila jeshi linapesa ndefu kama magereza tu anakunja 800k daah hatari sana
 
Sema sasa hivi kila jeshi linapesa ndefu kama magereza tu anakunja 800k daah hatari sana
Laki tatu ya vinywaji

Na laki moja ya pango

Na bado hela ya umeme na maji



Kwa anaenza huyu warder anakula kilo tano


Bado kuna bonus zao

Masaa ya kazi mwisho 8 tofauti na polisi ukizidisha unalipwa tena cash

Kupata vyeo ni rahisi tofauti na polisi


Mafunzo miezi sita uhakika wa kuapa unao tofauti na polisi ukiteleza kidogo unarudishwa ukiumwa wiki tu wanakuandikia unfit unarudishwa

Sasa kwa nini usiipende magereza


Kwa mtakaobahatika kwenda Kiwira mtakuwa mmetoboa sana
 
izo chanc kuzipata ndo shida
 
aiseeh magereza inahitaji promo kama yako ili watu waipende.kwa strori nazosikia na navo waona magereza sijawahi jaribu kuomba nafasi ila kama wanavuta bonus kama hzo mbona fresh tuu mzee.kila la kheri washkaji mtakao pata
 
aiseeh magereza inahitaji promo kama yako ili watu waipende.kwa strori nazosikia na navo waona magereza sijawahi jaribu kuomba nafasi ila kama wanavuta bonus kama hzo mbona fresh tuu mzee.kila la kheri washkaji mtakao pata
Wapo kimya sana na li pdf wanatutia presha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…