Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

aiseeh magereza inahitaji promo kama yako ili watu waipende.kwa strori nazosikia na navo waona magereza sijawahi jaribu kuomba nafasi ila kama wanavuta bonus kama hzo mbona fresh tuu mzee.kila la kheri washkaji mtakao pata
Nimecheka eti promo[emoji23][emoji23]
 
Kuna askar nimemskia mwez 8 wanaenda coz miez mitatu kwa hio walioko ccp nadhan watakua wamemaliz coz kipind hiko
 
Back
Top Bottom