Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi karibuni hazizidi wiki mbiliHellow ety polisi wanapass out lin
Ok ni vizurHivi karibuni hazizidi wiki mbili
Duh kwani course si miezi Tisa? Je imetimia?Hivi karibuni hazizidi wiki mbili
Kwa hio hawapassout mpak wamalize mafunzoDuh kwani course si miezi Tisa? Je imetimia?
NdioKwa hio hawapassout mpak wamalize mafunzo
Nadhani mpka mwezi wa nane ndio watakuwa wametimiza miezi 9Duh kwani course si miezi Tisa? Je imetimia?
Magereza wanamaliza coz yao tar 15 07Nadhani mpka mwezi wa nane ndio watakuwa wametimiza miezi 9
Ndio baada ya hapo kuruti wapya wanaingiaMagereza wanamaliza coz yao tar 15 07
Nadhani kila kitu ni baada ya sensa, mimi ninahamu na kitenge kuliko kila kitu, ingawa hizo nyingine pia siachi zikijaNdio baada ya hapo kuruti wapya wanaingia
Nimecheka eti promo[emoji23][emoji23]aiseeh magereza inahitaji promo kama yako ili watu waipende.kwa strori nazosikia na navo waona magereza sijawahi jaribu kuomba nafasi ila kama wanavuta bonus kama hzo mbona fresh tuu mzee.kila la kheri washkaji mtakao pata
Uzi umepoa
Baada ya Ijumaa sikilizia hapoKwa magereza hujaskia lini PDF inaweza kuwa tayari
Tuone mkuuu maaan sio mbali ijumaaaBaada ya Ijumaa sikilizia hapo
Kila la heri mkuu
Itakuwa coz ya ukoplo hyooKuna askar nimemskia mwez 8 wanaenda coz miez mitatu kwa hio walioko ccp nadhan watakua wamemaliz coz kipind hiko
Mkoani waliwaambiaje baada ya usaili ?Tuone mkuuu maaan sio mbali ijumaaa