Xmonster
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,644
- 2,382
Maneno yako yawe ya kherisema ww magereza wanakuchukua mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno yako yawe ya kherisema ww magereza wanakuchukua mkuu
Inshaallah na iwe hivyo mkuusema ww magereza wanakuchukua mkuu
Amen Iwe hivyo mkuuInshaallah na iwe hivyo mkuu
Nitashukuru kwakweli aisee
Kiwira panakuhusu.sijajua kama weekend watakua wna waruhusu mkapige ndizi na parachichi kitaaInshaallah na iwe hivyo mkuu
Nitashukuru kwakweli aisee
hahaha na iwe hivyo Daah hizi pass ni nzuri sana unazurura unaenda kuuona mjiKiwira panakuhusu.sijajua kama weekend watakua wna waruhusu mkapige ndizi na parachichi kitaa
nilipigaga field kiwanda kimoja huko miaka hiyo.kuna baridi kishenzihahaha na iwe hivyo Daah hizi pass ni nzuri sana unazurura unaenda kuuona mji
Hata mimi nilisikia wadau hawaogi kabisa kipindi cha depo hasa wanaumen
nilipigaga field kiwanda kimoja huko miaka hiyo.kuna baridi kishenzi
Kiwira hapafahi, Magereza Wana chuo kipo mazingira magumu sana Kama 2022 watu waalalamika nimelelewa kotaz za Magereza kwa Kaka ake mshua kapita hapo 1984 anasema miaka hiyo ilikuwa hatari na mikiki mwanzo mwisho!!!Hata mimi nilisikia wadau hawaogi kabisa kipindi cha depo hasa wanaume
Vipi hawaachagi watoto huko mtaani hawa vijana wa depoKiwira hapafahi, Magereza Wana chuo kipo mazingira magumu sana Kama 2022 watu waalalamika nimelelewa kotaz za Magereza kwa Kaka ake mshua kapita hapo 1984 anasema miaka hiyo ilikuwa hatari na mikiki mwanzo mwisho!!!
Tatizo hao jamaa hawaji uraiani so kwa sisi wengine walala hoi inakuwa ngumu kupataMwanangu mmoja hivi wa jwtz aliingia mwaka jana naona wamemwaga sijui maana leo nimemuona karudi watsapp , tujiandae na vibogi vipya
Daah hao watu hata sijuiNauliza makao dodoma washafanya usaili?
Dodoma wamemaliza janaNauliza makao dodoma washafanya usaili?
Basi hapo ukute ni kweliDodoma wamemaliza jana
Ngoja mkeka utoke tuone maajabu ya MunguDodoma wamemaliza jana
Usaili upi? Wa wenye ujuzi au wasio na ujuziNauliza makao dodoma washafanya usaili?
Ukisikia makao ujue ni ujuzi kama tangazo lilivyotaka waombaji wa fani wafanye hivyoUsaili upi? Wa wenye ujuzi au wasio na ujuzi