Anganjwiri92
Member
- Sep 27, 2020
- 30
- 44
Habari JF,
Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta.
Hapa shida ni nini?
Ninatumia simu tajwa hapo juu, shida ni kwamba ina ji-restart lakini bettery hearth maximum capacity 100% ukichaji fasta inajaa mapema na kuisha ni fasta.
Hapa shida ni nini?