Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
Yes! Hapo ndipo siri ilipo,wengi misuli yao imeathirika kwa sababu ya zoezi hilo.Na tiba yake ni ya muda mrefu siyo kukurupuka siku tatu tu mtu anataka apone.Tuache punyeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes! Hapo ndipo siri ilipo,wengi misuli yao imeathirika kwa sababu ya zoezi hilo.Na tiba yake ni ya muda mrefu siyo kukurupuka siku tatu tu mtu anataka apone.Tuache punyeto
Punyeto ni mazoezi ya kupasha viungo... Warm up kabla ya gameTuache punyeto
Sio kila mwenye tatizo hilo anapiga punyeto au alipiga punyeto, kama unaujua msaada msaidie mwenzio.Hayo ni madhara ya kupiga punyeto muda mrefu,kama ndiyo mchezo wako acha zingatia sana mazoezi hasa ya kukimbia itakusaidia.
Hayo madawa utamaliza tu hela zako bure hakuna itakayokusaidia.
Uongooo!!Utafurahi Coca naahidi
Mwisho wa siku utaliwa kimasiharaUongooo!!
Kawaida tyuu!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku utaliwa kimasihara
Watu wengine Wana dhihaka jaman kama hataki kuchangia mada Bora aache tu.Sio kila mwenye tatizo hilo anapiga punyeto au alipiga punyeto, kama unaujua msaada msaidie mwenzio.
Ndo mana mtu anaweka mada hadharan ili asaidiwe Sasa wengine wanataka (private message) whyWanaokuita pm ni wafanya biashara tu hao , nashauri usitumie madawa mengi sana kutibu tatizo lako hakikisha unapata shuhuda kadhaa kabla hujaanza kutumia dawa , kuepuka kupoteza muda na hela
Tiba ya uume kuwa imara ni mambo kadhaa:Ipi ni tiba sahihi kutibu tatizo la uume kelegea mbali na hizi dawa za asili zinazotrend sana mtandaoni?
Sent from my 23028RNCAG using JamiiForums mobile app
Aweee?🫣🫣🫣Punyeto ni mazoezi ya kupasha viungo... Warm up kabla ya game
Mkuu! Nguvu za kiume ni hela! Hayo mengine utadanganywa!Ipi ni tiba sahihi kutibu tatizo la uume kelegea mbali na hizi dawa za asili zinazotrend sana mtandaoni?
Sent from my 23028RNCAG using JamiiForums mobile app
Kwa usingiz Niko sawa mkuuKama hupati muda mrefu wa kulala,Basi jitahidi utafute siku kadhaa na upumzike vya kutosha yaani uchape usingizi wa kutosha.
Utakaa freshi.
Usimshahu Mungu.
Mh hapa Sasa kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo unampa na mambo ya utamaduni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Puchu ni kwa wavulana ni moja ya stage ya ukuaji real men hapigi puchu ukiona bado unapiga puchu katika 30s bado haujakuwa kiakili na mpiga puchu hakuna namna anaweza kumridhisha mwanamkeIpi ni tiba sahihi kutibu tatizo la uume kelegea mbali na hizi dawa za asili zinazotrend sana mtandaoni?
Sent from my 23028RNCAG using JamiiForums mobile app
Ndio tunataka tiba Sasa haijalishi itachukua muda Gani kikubwa mtu atibike, na atumie dawa zipi?Yes! Hapo ndipo siri ilipo,wengi misuli yao imeathirika kwa sababu ya zoezi hilo.Na tiba yake ni ya muda mrefu siyo kukurupuka siku tatu tu mtu anataka apone.