Thinking like an Entrepreneur, ndo mawazo anayotakiwa kua nayo kila kijananenda uko2 ukirudi fungua campany yako
thanx nimekusoma mkuuSincerely ukisoma IT uwe tayari kujiajiri.kutokanana tech inavyokuwa daily yani uatakiwa uwe kipaanga kweli wa It ili ukabili ushindani vinginevyo.nakwambia hili from expirience marafiki zangu wote wamishia kuwa walimu sisemi sio kazi ila jiandae kwa ushindani popote utakosomea
Wakuu napendelea kusoma IT sasa kunachuo kipo malaysia nimekifuatilia na wanatoa degree ya IT with specialism in information system security.sasa swali langu ni hili nikienda kuchukua hii kozi huko malysia hii specialism in security itakuwa na advantage yeyote katika soko la ajira nitakapo rudi au ni bora nisome hapahapa bongo.naomba kuwasilisha