bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Habari zenu ndugu zangu.
Mi nikijana wa miaka 25, kwa kawaid kila niamkapo asubuhi penis yangu huwa inasimama, lakini pia pale ninapopata hisia either nikiwa njiani ama sehemu yeyote.Kiukweli mimi nina mchumba lakini yupo arusha na nilikutana kimwili naye mwaka jana toka hapo sijakutana na mwanamke yeyote, japo siku kama tano zilizopita nikiwa kitandani kwangu nlipata hisia kali nikaamua kumasterbet baada ya hapo penis yangu haijasimama tena, hata nikijaribu kutafuta hisia bado inakuwa ngumu, jana nimejaribu kuvuta hisia za mchumba wangu waapiii.Nimekosa amani,nimepungua uzito toka 59.7-57.4.Naomba msaada wa ushauri nifanyeje niweze.Hali yangu imekuwa mbaya kwani nakosa piece of. mind kila nikiwaza hilo.plz and plz naomba msaadaa wenu ndufu
Mi nikijana wa miaka 25, kwa kawaid kila niamkapo asubuhi penis yangu huwa inasimama, lakini pia pale ninapopata hisia either nikiwa njiani ama sehemu yeyote.Kiukweli mimi nina mchumba lakini yupo arusha na nilikutana kimwili naye mwaka jana toka hapo sijakutana na mwanamke yeyote, japo siku kama tano zilizopita nikiwa kitandani kwangu nlipata hisia kali nikaamua kumasterbet baada ya hapo penis yangu haijasimama tena, hata nikijaribu kutafuta hisia bado inakuwa ngumu, jana nimejaribu kuvuta hisia za mchumba wangu waapiii.Nimekosa amani,nimepungua uzito toka 59.7-57.4.Naomba msaada wa ushauri nifanyeje niweze.Hali yangu imekuwa mbaya kwani nakosa piece of. mind kila nikiwaza hilo.plz and plz naomba msaadaa wenu ndufu