Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie afanye Uninstall hiyo WhatsApp kisha ai install upya,itamuijia verification code mpya kisha ataiweka,na hiyo WhatsApp iliyo hakiwa ndio itakua mwisho wake,
Wataalamu wataongezea zaidi.
Sasa hivi Baadhi ya watu ambao wapo kwenye Beta unaweza tumia whatsapp kwenye Vifaa 4, na whatsapp ya simu kama haifanyi kazi hivyo vifaa vyengine vitakuwa disconnected baada ya siku 14.Hiki ulichosema ni dawa pia.
Ila whatsapp inaweza fanya kazi kwa namba moja tu yaani namba moja akaunti moja.
Kwa njia iliyoelezwa na mleta uzi ya kupata codes inaashiria jamaa ana namba mbili na ndiyo maana whatsapp ilikua installed kwingine na yeye akaombwa code.
Ambacho sielewi ni kivipi tena na yeye awe na akaunti kwa namba hiyo hiyo? Kwa maelezo yake kwamba hadi anatolewa kwenye magrupu hii njia ya code isingewezekana kwakua yeye anakua hana access na hiyo akaunti ya whatsapp mwenye access anakua uliyempa code.
Ili aweze kumtoa kwenye grups na kuchat na watu na kuona chats za jamaa ni lazima iwe whatsapp web. Ambayo hii haihitaji codes.
Unless kama jamaa aliomba codes kumzuga ila in reality amempigia denge kupitia whatsapp web au mimi nimeachwa na tech.
Yaani whatsapp akaunti moja inakua kwenye devices nyingi?Sasa hivi Baadhi ya watu ambao wapo kwenye Beta unaweza tumia whatsapp kwenye Vifaa 4, na whatsapp ya simu kama haifanyi kazi hivyo vifaa vyengine vitakuwa disconnected baada ya siku 14.
Imagine jamaa kapokonywa Ownership na yeye kafanywa tu Kawa side device, hapo hata atoe na kuweka upya whatsapp haitamsaidia.
Aende setting Kisha linked devices then a angalie kama kuna menu ya multi device, kama ipo ajitoe, kama pia Kuna option nyengine kama whatsapp web aitoe.
Hapo whatsap web tu,hakuna kingineHiki ulichosema ni dawa pia.
Ila whatsapp inaweza fanya kazi kwa namba moja tu yaani namba moja akaunti moja.
Kwa njia iliyoelezwa na mleta uzi ya kupata codes inaashiria jamaa ana namba mbili na ndiyo maana whatsapp ilikua installed kwingine na yeye akaombwa code.
Ambacho sielewi ni kivipi tena na yeye awe na akaunti kwa namba hiyo hiyo? Kwa maelezo yake kwamba hadi anatolewa kwenye magrupu hii njia ya code isingewezekana kwakua yeye anakua hana access na hiyo akaunti ya whatsapp mwenye access anakua uliyempa code.
Ili aweze kumtoa kwenye grups na kuchat na watu na kuona chats za jamaa ni lazima iwe whatsapp web. Ambayo hii haihitaji codes.
Unless kama jamaa aliomba codes kumzuga ila in reality amempigia denge kupitia whatsapp web au mimi nimeachwa na tech.
YAP ipo kwenye Beta sasa hivi soon ina rollout kwa watu wengi.Yaani whatsapp akaunti moja inakua kwenye devices nyingi?
faq.whatsapp.com
Kama Installation yake inahusisha kupata codes basi jamaa acheki na option hii.YAP ipo kwenye Beta sasa hivi soon ina rollout kwa watu wengi.
![]()
Справочный центр WhatsApp - Связанные устройства
Связанные устройства - Используйте WhatsApp в браузере, на компьютере и на других устройствах, связав их со своим телефоном. Вы можете одновременно использовать до четырёх связанных устройств и один телефон. Ваши личные сообщения, медиафайлы и звонки защищены сквозным...faq.whatsapp.com
@Chief-MkwawaYAP ipo kwenye Beta sasa hivi soon ina rollout kwa watu wengi.
![]()
Справочный центр WhatsApp - Связанные устройства
Связанные устройства - Используйте WhatsApp в браузере, на компьютере и на других устройствах, связав их со своим телефоном. Вы можете одновременно использовать до четырёх связанных устройств и один телефон. Ваши личные сообщения, медиафайлы и звонки защищены сквозным...faq.whatsapp.com
Kama hakuna linked device Angalia backup email ni yako?@Chief-Mkwawa
Mm ndio naitumia sababu Niko beta program kuanzia simu yenyewe mpaka application za android
Hii hapaView attachment 1867768
Kwa hiyo anamjua huyo "hacker"?Walicho fanyia ni kuwa hacker inavyoonekana alfa jirejister kwenye device nyingine six digits codes ikaenda kwa simu halali ya mshkaji kisha haka akamwomba mshkaji amrushie zile code kwasababu mshkaji hakuelewa nia au tuseme sii mtaalamu kidogo wa maswala ya tech akatumtumia na hapo ndipo alipokamatwa
Samahani kama kichwa cha habari hakijatulia.Naomba mwongozo wa nini kifanyike au nimshauri rafiki yangu whatspp namba yake ime be hacked na aliyemhak sasa ana access magroup yote ambayo jamaa yupo na anamtoa na kuleta usumbufu