hv kama unalipiwa ada yote na huchangii chochote dat means umepata asilimia mia c ndo manake wadau
kuna kasoro katika taarifa za HESLB - aidha wameamua kutoa 100% au bado hawajakamilisha zoezi hao ma IT ili waonyeshe mtu kapata kiasi gani cha mkopo kati ya gharama yote ya masomo kwa mwaka