Habari wakuu
Msaada wakuu,katika kuapply huku ukiwa na diploma imetushinda tumehangaika wee hadi vichwa vinauma na ukifika sehemu ya kuhakiki ulikotuma kwa m-pesa tunaambiwa namba sio sahihi,muda umeisha mwisho jumanne plz wadau nyie mmefanyaje?ni network inasumbua au hatuelewi ?hatujafanikiwa hata mara moja kulog in,
msaada tafadhali nawasilisha
Msaada wakuu,katika kuapply huku ukiwa na diploma imetushinda tumehangaika wee hadi vichwa vinauma na ukifika sehemu ya kuhakiki ulikotuma kwa m-pesa tunaambiwa namba sio sahihi,muda umeisha mwisho jumanne plz wadau nyie mmefanyaje?ni network inasumbua au hatuelewi ?hatujafanikiwa hata mara moja kulog in,
msaada tafadhali nawasilisha