Msaada jamani biashara yangu inakufa

Msaada jamani biashara yangu inakufa

Joined
Feb 13, 2024
Posts
80
Reaction score
204
Kwa ufupi niseme tu hapa nilipo sielewi kabisa nimepigana sana mpaka kufika hii hatua niliyonayo, toka barabarani mpaka kumiliki ofisi, kama mnavyojua kusimamamisha biashara sio jambo ndogo.

Japo nilianza hii biashara ila nilijipa muda wa miaka mitatu kwamba labda ndio naweza kuona mwanga kwenye biashara yangu Kwa sasa ni muda wa kukabiliana changamoto na kujifunza zaidi kuhusu hii biashara.

Changamoto iliyonikuta mpaka nimeamua kuja hapa ni kwamba nimekwama kifedha kiasi kwamba nimepewa wiki nisipolipa hela ya pango niondoe vitu vya nitafute sehemu nyingine, nimejaribu kutafuta mkopo lakini changamoto ni kwamba benk wanasema sina vigezo na hizi ofisi za kukopesha wanataka wafanyakazi, ninaomba kwa anayejua sehemu yoyote wanaotoa mikopo anisaidie Mimi nitaweka bond vitu vyangu vya ofisini.

Nina camera, printer, mashine ya kutengeneza picha mbao, set ya taa za kupigia picha Photoshop, machine ya kukatia mbao na aluminium.

Ninahitaji mkopo kama wa sh milioni moja, msaada kwenu wadau
 
Kwa ufupi niseme tu hapa nilipo sielewi kabisa nimepigana sana mpaka kufika hii hatua niliyonayo, toka barabarani mpaka kumiliki ofisi, kama mnavyojua kusimamamisha biashara sio jambo ndogo.

Japo nilianza hii biashara ila nilijipa muda wa miaka mitatu kwamba labda ndio naweza kuona mwanga kwenye biashara yangu Kwa sasa ni muda wa kukabiliana changamoto na kujifunza zaidi kuhusu hii biashara.

Changamoto iliyonikuta mpaka nimeamua kuja hapa ni kwamba nimekwama kifedha kiasi kwamba nimepewa wiki nisipolipa hela ya pango niondoe vitu vya nitafute sehemu nyingine, nimejaribu kutafuta mkopo lakini changamoto ni kwamba benk wanasema sina vigezo na hizi ofisi za kukopesha wanataka wafanyakazi, ninaomba kwa anayejua sehemu yoyote wanaotoa mikopo anisaidie Mimi nitaweka bond vitu vyangu vya ofisini.

Nina camera, printer, mashine ya kutengeneza picha mbao, set ya taa za kupigia picha Photoshop, machine ya kukatia mbao na aluminium.

Ninahitaji mkopo kama wa sh milioni moja, msaada kwenu wadau
Biashara gani? Ungeitaja tujue jinsi ya kukushauri
 
Kwa ufupi niseme tu hapa nilipo sielewi kabisa nimepigana sana mpaka kufika hii hatua niliyonayo, toka barabarani mpaka kumiliki ofisi, kama mnavyojua kusimamamisha biashara sio jambo ndogo.

Japo nilianza hii biashara ila nilijipa muda wa miaka mitatu kwamba labda ndio naweza kuona mwanga kwenye biashara yangu Kwa sasa ni muda wa kukabiliana changamoto na kujifunza zaidi kuhusu hii biashara.

Changamoto iliyonikuta mpaka nimeamua kuja hapa ni kwamba nimekwama kifedha kiasi kwamba nimepewa wiki nisipolipa hela ya pango niondoe vitu vya nitafute sehemu nyingine, nimejaribu kutafuta mkopo lakini changamoto ni kwamba benk wanasema sina vigezo na hizi ofisi za kukopesha wanataka wafanyakazi, ninaomba kwa anayejua sehemu yoyote wanaotoa mikopo anisaidie Mimi nitaweka bond vitu vyangu vya ofisini.

Nina camera, printer, mashine ya kutengeneza picha mbao, set ya taa za kupigia picha Photoshop, machine ya kukatia mbao na aluminium.

Ninahitaji mkopo kama wa sh milioni moja, msaada kwenu wadau
Usikope kama hakuna mzunguko wa pesa bora urudishe vitu nyumbani ama tafuta kwa kujishikiza
 
Mimi biashara yangu ni najishugulisha na studio ya picha, pia nitengeneza vitu vidogovidogo vya furniture
Ongea na mwenye nyumba akupe muda kidogo halafu utulize kichwa ujue jinsi gani utainuka bila kukopa unaweza ukakopa na hela ukaimaliza kwenye shida nyingine na biashara isinyanyuke ukadaiwa mara mbili

Kingine kama unaona biashara haikupi hata robo ya kile unachokihitaji unaweza badili biashara au location
 
Kwa ufupi niseme tu hapa nilipo sielewi kabisa nimepigana sana mpaka kufika hii hatua niliyonayo, toka barabarani mpaka kumiliki ofisi, kama mnavyojua kusimamamisha biashara sio jambo ndogo.

Japo nilianza hii biashara ila nilijipa muda wa miaka mitatu kwamba labda ndio naweza kuona mwanga kwenye biashara yangu Kwa sasa ni muda wa kukabiliana changamoto na kujifunza zaidi kuhusu hii biashara.

Changamoto iliyonikuta mpaka nimeamua kuja hapa ni kwamba nimekwama kifedha kiasi kwamba nimepewa wiki nisipolipa hela ya pango niondoe vitu vya nitafute sehemu nyingine, nimejaribu kutafuta mkopo lakini changamoto ni kwamba benk wanasema sina vigezo na hizi ofisi za kukopesha wanataka wafanyakazi, ninaomba kwa anayejua sehemu yoyote wanaotoa mikopo anisaidie Mimi nitaweka bond vitu vyangu vya ofisini.

Nina camera, printer, mashine ya kutengeneza picha mbao, set ya taa za kupigia picha Photoshop, machine ya kukatia mbao na aluminium.

Ninahitaji mkopo kama wa sh milioni moja, msaada kwenu wadau
Nafanya hizo kazi. Na sina vifaa vingi kama ulivyonavyo lakini haijawahi kunifelisha, Wapigapicha walio wengi wanapenda pombe na mbususu,
Nathubutu kusema wewe ni mzembe sana,
 
Nafanya hizo kazi. Na sina vifaa vingi kama ulivyonavyo lakini haijawahi kunifelisha, Wapigapicha walio wengi wanapenda pombe na mbususu,
Nathubutu kusema wewe ni mzembe sana,
Hata mm naona, au kaz anafanya kwa kiwango cha chini na ndio maana hapat wateja
 
Back
Top Bottom