dada white
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 1,228
- 514
jamani naombeni tushauriane wapi nimpeleke wapi huyu dogo mwenye marks zifuatazo maana baba yake amemsusa nataka nivae mabomu ya kumsaidia kumpeleka certificates kwenye chuo chochote cha uuguzi au college yeyote ambayo itamatch na performance yake na masomo aliyosoma.
chem-D,Bio-D,Geo-D,Hist-D,Eng-D,Kisw-D,Civ-D,Math-f,Eng Literat-D means division 4 ya 28
Naomba tusaidiane kunielekeza chuo gani cha uuguzi kinaweza kumpokea ambacho kipo mkoa nje ya Dar es Salaam.
ada kiwango chochote nipo tayari kulipia tusaidiane wazazi iwe kinatoa mambo ya pharmacy,udaktari wa mifugo dogo yupo tayari kwa kozi yoyote elimradi ifanane na mambo ya kitabibu.Asanteni.
chem-D,Bio-D,Geo-D,Hist-D,Eng-D,Kisw-D,Civ-D,Math-f,Eng Literat-D means division 4 ya 28
Naomba tusaidiane kunielekeza chuo gani cha uuguzi kinaweza kumpokea ambacho kipo mkoa nje ya Dar es Salaam.
ada kiwango chochote nipo tayari kulipia tusaidiane wazazi iwe kinatoa mambo ya pharmacy,udaktari wa mifugo dogo yupo tayari kwa kozi yoyote elimradi ifanane na mambo ya kitabibu.Asanteni.