Msaada jamani, hizi gari zinashida gani?

Msaada jamani, hizi gari zinashida gani?

politics observer

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2024
Posts
385
Reaction score
299
Natumai wote n wazima wa afya…

Nisiwachoshe ndugu zangu naomba kufahamu hizi gari zinashida gani?

Subaru impreza , 4th Generation year 2012 - 2016. wengine hupenda kuziita impreza new model..

Hizi gari kwa haraka haraka zimependelewa sn, kuanzia interior mpaka exterior… yani ni mikebe haswaa.

Ina feature nyingi ambazo kila gari ya kisasa bac lazima iwe nayo. Pia ni very comfortable, safety features za kutosha, engine power ✅, reather seats✅, stylish… na mazaga kibao..

Ina engine ndogo tuu na ni very economy. Cc 1,600 na 2000,

Na pia yapo matoleo ya hybrid,

Hizi gari kwa bei ya mkononi zinauzwa kitonga sn, na nyingi ni number E..

DD30FFDF-F8FC-4FE7-9222-9D0027A96130.jpeg
94E93AE7-2EE9-4359-AB5F-D1B0A71D74B8.jpeg
8C6D4591-55ED-4D5D-9A5E-64DD3979F3BB.jpeg


Yani kila anaeuza utasikia anasema Exchage allowed

Sasa kabla wengine hatujaingia mkenge please naomba tusanuane, hasa kwa wale ambao walishawai kuyamiliki…

Shida ni nn mpaka resale value yake iwe chini hivi? Kama ni Mimba tusanuane please..

Natanguliza shukrani
 

Attachments

  • 769CDFCE-AC53-4328-89E2-BAE9AAA1305D.jpeg
    769CDFCE-AC53-4328-89E2-BAE9AAA1305D.jpeg
    125.1 KB · Views: 13
  • 41B57637-92EF-43A3-935C-83ADF4FF9CC1.jpeg
    41B57637-92EF-43A3-935C-83ADF4FF9CC1.jpeg
    80.9 KB · Views: 14
Hakuna gari iko na shida bali wenye shida ni watumiaji...
Wenzetu wakenya mbona wanapenda nissan, Subaru na Volkswagen? Ila ukija Tanzania watakuambia hayo magari Yana shida Sana kumbe shida tunazo Sisi watanzania ( Kwa kifupi wabongo hatupendi challenge za maisha, unakuta gari amenunua Kwa mamilioni kln anatumia engine oil ya 50,000 na filter ya 10,000 )
 
Wenzetu wakenya mbona wanapenda nissan, Subaru na Volkswagen? Ila ukija Tanzania watakuambia hayo magari Yana shida Sana kumbe shida tunazo Sisi watanzania ( Kwa kifupi wabongo hatupendi challenge za maisha, unakuta gari amenunua Kwa mamilioni kln anatumia engine oil ya 50,000 na filter ya 10,000 )

maintenance service hadi gari ianze kuleta shida wakati kila component according to the manual inabidi kutazamwa na nyingine kubadilishwa kwa muda au kilometa fulani...
 
Mbona IST zinauzwa sana na wengine wako tayari kubadilisha na gari nyingine, na,o unataka kusema zina shida!!!
Natumai wote n wazima wa afya…

Nisiwachoshe ndugu zangu naomba kufahamu hizi gari zinashida gani?

Subaru impreza , 4th Generation year 2012 - 2016. wengine hupenda kuziita impreza new model..

Hizi gari kwa haraka haraka zimependelewa sn, kuanzia interior mpaka exterior… yani ni mikebe haswaa.

Ina feature nyingi ambazo kila gari ya kisasa bac lazima iwe nayo. Pia ni very comfortable, safety features za kutosha, engine power ✅, reather seats✅, stylish… na mazaga kibao..

Ina engine ndogo tuu na ni very economy. Cc 1,600 na 2000,

Na pia yapo matoleo ya hybrid,

Hizi gari kwa bei ya mkononi zinauzwa kitonga sn, na nyingi ni number E..

Yani kila anaeuza utasikia anasema Exchage allowed

Sasa kabla wengine hatujaingia mkenge please naomba tusanuane, hasa kwa wale ambao walishawai kuyamiliki…

Shida ni nn mpaka resale value yake iwe chini hivi? Kama ni Mimba tusanuane please..

Natanguliza shukrani
 
Mbona IST zinauzwa sana na wengine wako tayari kubadilisha na gari nyingine, na,o unataka kusema zina shida!!!
Kaka, ist nunua resale value yake ipo juu,
Hizo gari waweza nunua leo m24

Kesho uza 16 bado wateja wakawa wa kusuasua…

Ni sawa kabisa n mtu aliejitwisha crown, brevis, mark x old au verossa…

Nahic n Ndoa ya kikatoliki hii…. Tht why nimekuja kwa wajuvi waniambie ABC zake haswa upande changamoto
 
Wenzetu wakenya mbona wanapenda nissan, Subaru na Volkswagen? Ila ukija Tanzania watakuambia hayo magari Yana shida Sana kumbe shida tunazo Sisi watanzania ( Kwa kifupi wabongo hatupendi challenge za maisha, unakuta gari amenunua Kwa mamilioni kln anatumia engine oil ya 50,000 na filter ya 10,000 )
Shida mafundi wetu. Kuna Gerage Moja nilikuwa nikaona fundi anaweka 20W 50 kwenye Vitz toleo la 3. Mwenye gari hata hajui anatakiwa kuweka oil ya aina Gani katulia anachezea Simu. Nikajisemea tu kimoyo moyo kama gari inadeka itajibu chap
 
Shida mafundi wetu. Kuna Gerage Moja nilikuwa nikaona fundi anaweka 20W 50 kwenye Vitz toleo la 3. Mwenye gari hata hajui anatakiwa kuweka oil ya aina Gani katulia anachezea Simu. Nikajisemea tu kimoyo moyo kama gari inadeka itajibu chap
Hatari sana mkuu....
 
Natumai wote n wazima wa afya…

Nisiwachoshe ndugu zangu naomba kufahamu hizi gari zinashida gani?

Subaru impreza , 4th Generation year 2012 - 2016. wengine hupenda kuziita impreza new model..

Hizi gari kwa haraka haraka zimependelewa sn, kuanzia interior mpaka exterior… yani ni mikebe haswaa.

Ina feature nyingi ambazo kila gari ya kisasa bac lazima iwe nayo. Pia ni very comfortable, safety features za kutosha, engine power ✅, reather seats✅, stylish… na mazaga kibao..

Ina engine ndogo tuu na ni very economy. Cc 1,600 na 2000,

Na pia yapo matoleo ya hybrid,

Hizi gari kwa bei ya mkononi zinauzwa kitonga sn, na nyingi ni number E..

Yani kila anaeuza utasikia anasema Exchage allowed

Sasa kabla wengine hatujaingia mkenge please naomba tusanuane, hasa kwa wale ambao walishawai kuyamiliki…

Shida ni nn mpaka resale value yake iwe chini hivi? Kama ni Mimba tusanuane please..

Natanguliza shukrani
Subaru NI janga kwa ujumla
 
Back
Top Bottom