Msaada jamani kuhusu Telecommunication

Mtz2

Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
41
Reaction score
3
Msaada vip telecommunication inalipa kwenye ajira
 
Unaposema inalipa,una maanisha inaweza kukupa ajira tu au nini?
Maana mimi niliulizwa ni kozi gani yenye kutoa ajira kwa uraisi nitakwambia ualimu,polisi na jeshi.
 
Msaada vip telecommunication inalipa kwenye ajira

Voda,tigo,airtel,zantel,ttcl,airport,wizara ya mawacliano,media(tv na redio)..chamcngi gpa.ya maana tu..ajira zipo.
 
Inalipa mkuu we kapige.
Na kila kazi inalipa nikusahishe.
 
Nenda kasome, na kwakua unaipenda natumai utaijua Tellecom na sio Tellecom ikujue wewe... Ajira zitakuja tu kama utatoka unayajua mambo kisawa sawa... ma million ni ya kufikia
 
Nenda kasome, na kwakua unaipenda natumai utaijua Tellecom na sio Tellecom ikujue wewe... Ajira zitakuja tu kama utatoka unayajua mambo kisawa sawa... ma million ni ya kufikia

umetisha young mia mia
 
Tena ukiingia mwana Jikite sana kujua ma Installation ya 4G na 3G na mauchafu yake mengine yote yanayo husiana na izo makitu maana hapa bongo hakuna watata wa hayo makitu.. pamoja na CDN hii ni marketable sehemu yoyote duniani..........

umetisha young mia mia
 
Tena ukiingia mwana Jikite sana kujua ma Installation ya 4G na 3G na mauchafu yake mengine yote yanayo husiana na izo makitu maana hapa bongo hakuna watata wa hayo makitu.. pamoja na CDN hii ni marketable sehemu yoyote duniani..........

mia sana arifu
 
Kila ki2 kinalipa ukipata mchongo hata mangwini wanapush ma vogue ck hz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…