Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Ivi si kuna uzi ambao mtu akitokea kumpenda mwana jf mwenzie anasema huko. . .

Haitakua vyema watu wote kusemea huko,[emoji15]
 

Kuna tofauti ya avatar na mwenye avatar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…