Msaada. Jamani kuota nywele sehemu hizi...

Msaada. Jamani kuota nywele sehemu hizi...

Javis Elias Balilemwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
489
Reaction score
67
Jamani Mimi ni meota vinyweleo na ni viref kias kuanzia kwenye sehemu za matako hadi sehemu ya haja kubwa pembezon je nikawaida au naomba mnijuze
 
Jamani Mimi ni meota vinyweleo na ni viref kias kuanzia kwenye sehemu za matako hadi sehemu ya haja kubwa pembezon je nikawaida au naomba mnijuze

Hahahahaa! Kweli bora tubaki na hizi id feki mana mkuu umejieleza vizur mpaka nmecheka… ila ni kawaida kabisa si ugonjwa huo
 
🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Ndio kwanza zimeota au ndio kwanza unazi stukia kama zipo au uli shave baada ya kuota ndio ukaona hivyo?
 
Nilitaka niombe kapicha ya hivyo vinyweleo virefu ila nimeishia kucheka mwenyewe!!.
 
Kwa mwanaume ni jambo la kawaida sana

Mghosi
 
Nimeona Comments Nyingi zikisema kwa Mwanaume ni Kawaida,Vp kwa Mabinti?
 
njoo salun yangu ipo nyumban wasikudanganye una tatizo njoo haraka tuwasiliane ni pm mkubwa nikufahamishe salun yangu ilipo
 
Back
Top Bottom