badian kinwiko
Member
- Dec 8, 2013
- 94
- 10
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Ina maana huko unakosoma huwezi pata msaada? halafu inavyoonyesha hesabu unasoma kwa vile ni lazima yaani huzipendi kabisa, ubaya wa hesabu ni kwamba husipo zipenda na zenyewe hazitakupenda!
Swali lenyewe umekosea ku type ina maana hata hilo hujagundua ndugu yangu?
A={XER;6>X, au9<X}
6>X means x is less than 6
9<X means x is greater than 9, so how comes x to be less than 6 and greater than 9 in the same set A?
B={XER;-4>X au3<X} , yaani x iwe less than -4 halafu iwe greater than 3 in the same set B?
KUWA SERIOUS DOGO
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Kha! Mi nasoma BAM
Subiri pure waje
Majanga kweli!
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Ina maana huko unakosoma huwezi pata msaada? halafu inavyoonyesha hesabu unasoma kwa vile ni lazima yaani huzipendi kabisa, ubaya wa hesabu ni kwamba husipo zipenda na zenyewe hazitakupenda!
Swali lenyewe umekosea ku type ina maana hata hilo hujagundua ndugu yangu?
A={XER;6>X, au9<X}
6>X means x is less than 6
9<X means x is greater than 9, so how comes x to be less than 6 and greater than 9 in the same set A?
B={XER;-4>X au3<X} , yaani x iwe less than -4 halafu iwe greater than 3 in the same set B?
KUWA SERIOUS DOGO
Majanga kweli!
Majanga kwani muuliza swali anaonekana hana hata kwa mbali idea ya basic sets,maana hata swali lake alivyo li frame utata mtupu!!!!kwa nini mkuu? { thinker - someone who exercises the mind (usually in an effort to reach a decision)}
Naomba kwako mwenye uwezo wa kufanya hesabu hizi, unisaidie hapahapa. 1.Ikiwa set A={XER;6>X, au9<X} B={XER;-4>X au3<X} C={XER;-4<X<6} tafuta; a)AuB b)BnC c)AnB' 2.Ikiwa n(AnB)=5, n(AuB)=16, n(B-A)=8, n(AuB)'=4 Tafuta; n(A), n(B), n(AnB'), n(A'nB'), n(A'nB)
Majanga kwani muuliza swali anaonekana hana hata kwa mbali idea ya basic sets,maana hata swali lake alivyo li frame utata mtupu!!!!
Seti A={}
seti B={}
setiC =-3 -2 -1 0 1 2 3 4 5
Aunion B ={}
B intersection C={}
A intersection B'={}