Msaada jamani kwa mtu yeyote atakayetambua hii ndoto

Msaada jamani kwa mtu yeyote atakayetambua hii ndoto

kj75

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
539
Reaction score
637
Kwema,

Kama kichwa Cha habar kinavyosema msaada wenu.

Mimi nimeota usiku wa leo kuwa nyumba yangu ya Kijijini inaungua Moto mle ndani Kuna mtoto wangu mdg nikaenda nikamchukua nikaondoka nae Ila mke wangu akawa anataka aingie kuchukua vitu vingne nikamzuia aache tu viungwe maadamu mtoto tuko nae huyo mdg Ila sisi tuna watoto watatu Hawa wawili kwenye ndoto hawamo

Hii ndoto Ina maana gani?

Ili Hali sisi Kijijini tumetoka yapata wiki tatu Sasa tumelud mjini kuendelea Na majukumu yetu ya kila siku.

Ndoto nyingine ambayo Sasa huwa Ni Mara kwa Mara Ila Sasa hivi nimeona Ni kawaida ingawa mwanzoni ilinisumbua Sana Nikumwota Baba mzazi ambae kwa Sasa Ni Marehemu yapata mwaka Sasa hii inamaana gani naomba msaada nisingependa matusi.
 
Ndoto ni ndoto tu kuwa na aman hiyo ni vitu ubongo ujitengenezea t ktoka na maisha yetu ya kila siku that why huezi ota kitu ambacho ujawahi kukuiona au kukufikri kua na amani Mtanzania mwenzangu.

Amani iwe nawe.
 
Kwema,

Kama kichwa Cha habar kinavyosema msaada wenu

Mimi nimeota usiku wa leo kuwa nyumba yangu ya Kijijini inaungua Moto mle ndani Kuna mtoto wangu mdg nikaenda nikamchukua nikaondoka nae Ila mke wangu akawa anataka aingie kuchukua vitu vingne nikamzuia aache tu viungwe maadamu mtoto tuko nae huyo mdg Ila sisi tuna watoto watatu Hawa wawili kwenye ndoto hawamo

Hii ndoto Ina maana gani?????

Ili Hali sisi Kijijini tumetoka yapata wiki tatu Sasa tumelud mjini kuendelea Na majukumu yetu ya kila siku

Ndoto nyingine ambayo Sasa huwa Ni Mara kwa Mara Ila Sasa hivi nimeona Ni kawaida ingawa mwanzoni ilinisumbua Sana Nikumwota Baba mzazi ambae kwa Sasa Ni Marehemu yapata mwaka Sasa hii inamaana gani naomba msaada nisingependa matusi
Katoe sadaka.

Kaiombee hiyo ardhi.

Nikisema sadaka ni (kufunga siku saba, kuwasaidia wajane na yatima)

Ikiwezekana chinja kondoo dume kama aliyochinjiwa mrithi wa malkia zabeti ili uwe mtawala wa ardhi yako.

Ova
 
Inaonekana mnampa atention kubwa sana huyo mtoto wa mwisho kuliko hawa wawili.
Hao watoto wawili washaanza kuhisi kuwa hamwapendi hivyo nao wameanza kuufuta upendo na heshima yao kwenu kama wazazi.
Ndoto hio inakupa alert uwakumbuke na hao wawili.

Pia inaonekana huyo mtoto wa mwisho ni wa kiume. Na hao wawili ni wasichana. Pia baba yako alikudekeza sana wewe kama mtoto wa kiume lakini mwishoni kabla hajafa alijutia kwani dada zako ndio walikuwa naye bega kwa bega siku zake za mwisho wake, message anayotaka kukupa jali hao mabinti wako ndio watakua msaada
 
Ndoto ni ndoto tu kuwa na aman hiyo ni vitu ubongo ujitengenezea t ktoka na maisha yetu ya kila siku that why huezi ota kitu ambacho ujawahi kukuiona au kukufikri kua na amani mtanzania mwenzangu.


Amani iwe nawe.
Asante
 
Katoe sadaka.

Kaiombee hiyo ardhi.

Nikisema sadaka ni (kufunga siku saba, kuwasaidia wajane na yatima)

Ikiwezekana chinja kondoo dume kama aliyochinjiwa mrithi wa malkia zabeti ili uwe mtawala wa ardhi yako.

Ova
Nashukuru kwa mawazo mkuu
 
Inaonekana mnampa atention kubwa sana huyo mtoto wa mwisho kuliko hawa wawili.
Hao watoto wawili washaanza kuhisi kuwa hamwapendi hivyo nao wameanza kuufuta upendo na heshima yao kwenu kama wazazi.
Ndoto hio inakupa alert uwakumbuke na hao wawili.

Pia inaonekana huyo mtoto wa mwisho ni wa kiume. Na hao wawili ni wasichana. Pia baba yako alikudekeza sana wewe kama mtoto wa kiume lakini mwishoni kabla hajafa alijutia kwani dada zako ndio walikuwa naye bega kwa bega siku zake za mwisho wake, message anayotaka kukupa jali hao mabinti wako ndio watakua msaada
Asante umefafanua vizuri Ila hapo kwenye watoto wawili syo wakike, watoto wangu wote watatu Ni wa kiume Wenda hapo kwenye intension kubwa iko sawa
[emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374][emoji1374]
 
Kwema,

Kama kichwa Cha habar kinavyosema msaada wenu

Mimi nimeota usiku wa leo kuwa nyumba yangu ya Kijijini inaungua Moto mle ndani Kuna mtoto wangu mdg nikaenda nikamchukua nikaondoka nae Ila mke wangu akawa anataka aingie kuchukua vitu vingne nikamzuia aache tu viungwe maadamu mtoto tuko nae huyo mdg Ila sisi tuna watoto watatu Hawa wawili kwenye ndoto hawamo

Hii ndoto Ina maana gani?????

Ili Hali sisi Kijijini tumetoka yapata wiki tatu Sasa tumelud mjini kuendelea Na majukumu yetu ya kila siku

Ndoto nyingine ambayo Sasa huwa Ni Mara kwa Mara Ila Sasa hivi nimeona Ni kawaida ingawa mwanzoni ilinisumbua Sana Nikumwota Baba mzazi ambae kwa Sasa Ni Marehemu yapata mwaka Sasa hii inamaana gani naomba msaada nisingependa matusi

Ndoto imeishaje?
Ilikuwa mchana au usiku au jioni au Alfajiri?
Mlikuwa wahusika watatu tuu? Yaani wewe, mkeo na huyo mtoto?

Nyumba ya kijijini wakati inaungua ni Mali gani ambayo Mkeo alitaka kuiokoa ambayo inabebeka?
 
Ndoto imeishaje?
Ilikuwa mchana au usiku au jioni au Alfajiri?
Mlikuwa wahusika watatu tuu? Yaani wewe, mkeo na huyo mtoto?

Nyumba ya kijijini wakati inaungua ni Mali gani ambayo Mkeo alitaka kuiokoa ambayo inabebeka?
Ilikuwa usiku kuisha kwa ndoto Ni Mimi baada ya kumkatilia Mrs kuingia kuchukua vitu Na watu wakawa wanakuja kusaidia kuzima Moto ndo nikastuka kuangalia SAA Ni SAA nane Na dakika 32 usiku kuhus kule hakuna Kijijini tulijenga tu nyumba ndogo kwa ajili ya kufikia hivyo hakuna vitu Zaid ya mabegi yetu

Ndiyo tulikuwa wahusika watatu Na hao watu waliokuwa wanakuja kusaidia ndo nikastuka kutoka usingizini
 
Ilikuwa usiku kuisha kwa ndoto Ni Mimi baada ya kumkatilia Mrs kuingia kuchukua vitu Na watu wakawa wanakuja kusaidia kuzima Moto ndo nikastuka kuangalia SAA Ni SAA nane Na dakika 32 usiku kuhus kule hakuna Kijijini tulijenga tu nyumba ndogo kwa ajili ya kufikia hivyo hakuna vitu Zaid ya mabegi yetu

Ndiyo tulikuwa wahusika watatu Na hao watu waliokuwa wanakuja kusaidia ndo nikastuka kutoka usingizini

Wakati Moto unaanza ninyi mlikuwa ndani mkatoka bila ya mtoto kisha ukarudi kumchukua mtoto au wakati mnatoka ndio mkakumbuka kutoka naye?
 
Wakati Moto unaanza ninyi mlikuwa ndani mkatoka bila ya mtoto kisha ukarudi kumchukua mtoto au wakati mnatoka ndio mkakumbuka kutoka naye?
Hapo Ni kwamba wakati Moto unaanza sisi hatukuwepo ndani baada ya kuona Moto unawaka ndo Mimi nikakimbia kuingia ndani Na kuchukua mtoto alikuwa amelala
 
Mnakaa mnajadili ndoto??
Ndoto ni kawaida tu potezea relax
 
Hao watoto ambao hujawaokoa wanavifungo katika ulimwengu waroho. Katoe Limbuko la mzaliwa wako wa kwanza kama Ibrahim alivyomtoa Isaka Ili uzao wako ushikilie mlango wa adui asiingize uharibifu.

Siku utakayoota Tena moto umewaka na umeokoa watoto wako wote basi ndio uhakika kuwa umemaliza tatizo.

Mungu husema na watu wake kwa njia ya ndoto.

NB: Nipo Bize
 
Hao watoto ambao hujawaokoa wanavifungo katika ulimwengu waroho. Katoe Limbuko la mzaliwa wako wa kwanza kama Ibrahim alivyomtoa Isaka Ili uzao wako ushikilie mlango wa adui asiingize uharibifu.

Siku utakayoota Tena moto umewaka na umeokoa watoto wako wote basi ndio uhakika kuwa umemaliza tatizo.

Mungu husema na watu wake kwa njia ya ndoto.

NB: Nipo Bize
Mkuu mbona unaleta mambo ya ujima? Hujui kuwa kufa kwa Yesu Kristo ilikuwa ni kumwepusha binadamu na sadaka za namna hii? Yesu Kristo alijitoa kwa ajili yetu, kwa hivyo sisi sote (binadamu wote) tulikwishanunukiwa na hatupaswi kutoa tena sadaka za damu?
 
Back
Top Bottom